Assuming kwamba unaclhoongea ni kweli, kuna ajabu gain mtu kutisha kwao? Je, hao wanaokodishiwa ndege na kujaza mahoteli wanatoka wapi, kwa nini waje huko huyu bwana huko ni kwao na anakubalika? Hivi huko Wawi si ndo kule walikombebea mabango ya kumlaani?