Spika Sitta alikuwa mzuri na busara pia;; angalia alivyomjibu vizuri Lissu kwenye bajeti ya Nchimbi mpaka Lissu akakubali ushauri wa Sitta...haya yanayotokea sasa hivi Makinda naye anachangia, huyu mama mtupu kabisa....
Kajibiwa vzr, kvp? Lisu kasha tupwa,ni ugeni wa bunge,kwa akili yako ataruhusiwa kuleta hoja binafsi? nafasi hiyo iko wapi!!kasha lishwa nywele.