mimi ntakua wa kwanza,nasubiri kupata taarifa rasmi,hiki kinaweza kuwa chama cha kidemokrasia cha kweli maana hamad rashid kutokana na sakata hili atakua amekomaa hatothubutu kuwa mbakaji wa demokrasia ndani ya chama na ntamueleza wazi sio lazima awe mwenyekiti yeye,baada ya kupata usajili aitishe uchaguzi wa ndani haraka na kila mwanachama awe huru kugombea,ntamsaidia kukifanya kiwe chama cha kupigiwa mfano kwa ukomavu wa demokrasia ya ndani ya chama...
kaul yake alisema ataanzisha chama,
unadhan kuna Demokrasia,wakat ataanzisha?
Aliyekuwa mbunge wa Wawi ambaye jana amevuliwa uanachama wa CUF, Mh. Hamad Rashid Mohamed, ametangaza wazi kwamba anaanzisha chama kipya na amewataka wanachama wa CUF kurudisha kadi zao, na kwamba wawe tayari kujiunga na chama chake kipya kinachokuja muda si mrefu !
Source: Mlimani TV, Elimu Kwanza