Chama cha ADC kimekumbwa na mgogoro mkubwa baada ya wanachama na baadhi ya viongozi wake kuandika barua kwa msajili wa vyama vya siasa nchini na kusema hawamtambui Hamad Rashid kama mlezi wa chama hicho.Barua hiyo kwenda kwa msajili imeelezea ukiukwaji mkubwa wa kanuni uliofanyika.
Baadhi ya viongozi wa ADC walimtangaza Hamad Rashid kama mlezi wa chama hicho katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika hivi karibuni.
Chama cha ADC kinatumia bendera inayofanana karibu kwa kila kitu na chama kikuu cha upinzani nchini-CDM chenye idadi kubwa ya wafuasi na inadaiwa chama hicho kilichagua bendera hiyo ili kuwachanganya wananchi na kupata uungwaji mkono kama ule wanaopata wenzao wa CDM
Source:Tanzania Daima
Baadhi ya viongozi wa ADC walimtangaza Hamad Rashid kama mlezi wa chama hicho katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika hivi karibuni.
Chama cha ADC kinatumia bendera inayofanana karibu kwa kila kitu na chama kikuu cha upinzani nchini-CDM chenye idadi kubwa ya wafuasi na inadaiwa chama hicho kilichagua bendera hiyo ili kuwachanganya wananchi na kupata uungwaji mkono kama ule wanaopata wenzao wa CDM
Source:Tanzania Daima