Agustino Regnald
JF-Expert Member
- Aug 15, 2016
- 501
- 428
Wasumbufu sana hawa tgo, nilikuwa na mishe mishe za kukutana na mchepuko halafu wao wanazingua.
Mkuu kumbe unaishi kondoa???? "Kama vipi hama huko kondoa waachie KONDOO ndo wakae"Mi nilijua mtandao wa TiGO umekata huku kwetu Kondoa tu kumbe kila sehemu
Mkuu nimewekeza huku.. nalima mbaazi na dengu japo kwa sasa soko hakuna zimenidodeaMkuu kumbe unaishi kondoa???? "Kama vipi hama huko kondoa waachie KONDOO ndo wakae"
Wasumbufu sana hawa tgo, nilikuwa na mishe mishe za kukutana na mchepuko halafu wao wanazingua.
..Tigo Bado Iko Local,watumiaji kama wote mpka inazidiwa kabisaSalaam jf.
Leo hukukwetu kuna manyunyumanyunyu lakini chakushangaza kama kawaida yake tigo na mawingu vimekuwa haviendani kabisa yaani leo huduma zangu zote zimefeli kwa ajili ya huu mtandao wa grade zero, yaani nyie tigo mnaboa sana mbona wenzenu wanapiga bawa na kupasua anga. Yaani mawingu yakiisha imebidi mnilipe fidia ya usumbufu eidha muda wa maongezi au wa internet.