Halotel USB Modem hazifanyi kazi kwenye window 10

Halotel USB Modem hazifanyi kazi kwenye window 10

jichola3

Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
25
Reaction score
4
Wakuu,

3G USB modem mpya (D6602) za Halotel hazifanyi kazi kwenye Windows 10.

Chukueni tahadhari kwa sababu hupewi taarifa wakati unanunua.
 
sio kweli mkuu,mimi ndio naitumia hapa kukujibu huu uzi wako
 
Wakuu,

3G USB modem mpya (D6602) za Halotel hazifanyi kazi kwenye Windows 10.

Chukueni tahadhari kwa sababu hupewi taarifa wakati unanunua.
Si ungesema tu kuwa haifanyi kazi kwenye windows ten yako? maana hujafanya utafiti kwenye nyingine.
 
Si ungesema tu kuwa haifanyi kazi kwenye windows ten yako? maana hujafanya utafiti kwenye nyingine.
Nimetoka makao makuu ya Halotel sasa hivi. Wamethibitisha kwamba ni kweli kwa sababu nilifikiri tatizo ni kompyuta yangu.

Sent from my HTC One M9 using JamiiForums mobile app
 
Nimetoka makao makuu ya Halotel sasa hivi. Wamethibitisha kwamba ni kweli kwa sababu nilifikiri tatizo ni kompyuta yangu.

Sent from my HTC One M9 using JamiiForums mobile app
Kama hivyo basi sawa, Hivi Halotel nako kuna watu wa IT?
 
Si kwel mimi pia natumia tena kwa PCs tofauti but inafanya kazi kama kawaida.

Sent from my Infinix HOT 4 Lite using JamiiForums mobile app
 
Si kwel mimi pia natumia tena kwa PCs tofauti but inafanya kazi kama kawaida.

Sent from my Infinix HOT 4 Lite using JamiiForums mobile app
Idadi ya PC sio issue. Unatumia OS ipi?
 
Kumbe hivi vitu bado vipo....anyway pole mkuu
 
[SOLVED] Nime-update drivers na sasa hivi kila kitu ni shwari. Ninawashauri mwende na laptop zenu dukani na mjaribishe hizi modem kabla ya kununua. It's all good.
 
Back
Top Bottom