Town Hustler
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 278
- 364
- Thread starter
- #21
Tanzani mikoa ya pembezoni kusini huko ndanindaniUnaishi mkoa/wilaya gani mkuu?
Tanzani mikoa ya pembezoni kusini huko ndanindaniUnaishi mkoa/wilaya gani mkuu?
Nisharudi kijijoni mkuu....Njoo kesho kiongozi
Waungwana
Mimi ni mtu wa mkoani ndanindani kabisa huko
Sasa wiki hii nilipta nafasi ya kuja Dar nikaona ndio fursa ya kukamilisha kusajili namba zangu zote kwa mfumo wa wa alama za vidole
Nikaenda odisi ya Voda nikasajiliwa bila usumbufu, nikaenda ofisi ya halotel nikaambiwa njoo kesho, nikaenda tena nikaambiwa njoo kesho
Sasa nimeenda ofisi zao tofauti tofauti nara 5 na sijafanikiwa ....majibu yao ni mepesi tu "njoo kesho"
Muda wangu wa kuwepo Dar ukaisha na kurudi mkoa
Wakuu tatizo lao hawa Halotel ni nini ?
Kama Dar tu imeshindikana je kijijini huko Tunduru hali si tete....
Ina maana kumbe hilo Njoo kesho ndo tatizo aisee hamna mafundi sasa wakarekebisha"Njoo kesho" mkuu
Jibu ni "njoo kesho" tutakusajili
Ndio mkuu kazi yangu kuzurula tuDaah tuko tofauti sana aisee, so wewe unaambaambiwa hivyo unaridhika 5 times?? Huna kazi ya kufanya hapo Dar??
Nimekusoma mkuuUsihofu,endelea kutumia Laini yako ya Halotel haifungiwi,,
Halotel hawajaanza kusajili kwa mfumo wa alama za vidole,,
Huduma hiyo ikianza utahudumiwa popote pale ulipo tanzania,Halotel inamawakala nchi nzima.