Halotel tanzania mnataka kujua kama uchawi upo ama laah mana mnacheza na maisha ya watu kwa kutopatikana huduma ya Halopesa

Halotel tanzania mnataka kujua kama uchawi upo ama laah mana mnacheza na maisha ya watu kwa kutopatikana huduma ya Halopesa

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
2,144
Reaction score
3,459
Mbona mitandao mingine na ma bank wanatoa taarifa mapema kabla siku ya maboresho ma wanafanya usiku asubui mambo shwari nyinyi mnashindwa kufanya usiku hamna taa au?

Kuna wagonjwa wanateseka mahospital majumbani Kwa kukosa huduma za kiafya,Kuna familia zimeshindwa kupata mlo WA siku sababu mmefungia pesa zao uko,kuna wajasiliamali wameshindwa kufanya biashara zao sababu yenu,iv mnaweza kuwalipa usumbufu mnao wafanyia?

Mkipigiwa sim huduma kwa wateja namba haipo,wasap hamjibu, Facebook mnajibu ila mkipewa lalamiko mnakaa kimya,huduma Kwa wateja ikifika kipengele cha halopesa mnakata sim.

Sasa nawaambiaa wahusika wote WA huo mtandao ni kwamba dogoli kinyamkela ☠️ 💀 Mzee wa samba soti,na makaratee ya usiku nawapa 24 hours muwe mshaludisha huduma nje na apo kitakacho tokea tusilaumiane mana mnakela mno.
 
Sasa nawaambiaa wahusika wote WA huo mtandao ni kwamba dogoli kinyamkela ☠️ 💀 Mzee wa samba soti,na makaratee ya usiku nawapa 24 hours muwe mshaludisha huduma nje na apo kitakacho tokea tusilaumiane mana mnakela mno.
Mkuu,
Umeacha kufanya jambo dhidi ya watekaji na wauaji wa wananchi unatoa ultimatum kwa Halotel?
Kwa hao si kuna mbadala maana mitandao ipo mingi?
 
Mkuu,
Umeacha kufanya jambo dhidi ya watekaji na wauaji wa wananchi unatoa ultimatum kwa Halotel?
Kwa hao si kuna mbadala maana mitandao ipo mingi?
Mbadala Gani unao semea wewe ikiwa mtu pesa zake amehifadh halopesa na sio kwenye mitandao mingine?

Ilo swala la utekaj n mauaji ni sili ya Kambi mkuu
 
Mbona mitandao mingine na ma bank wanatoa taarifa mapema kabla siku ya maboresho ma wanafanya usiku asubui mambo shwari nyinyi mnashindwa kufanya usiku hamna taa au?

Kuna wagonjwa wanateseka mahospital majumbani Kwa kukosa huduma za kiafya,Kuna familia zimeshindwa kupata mlo WA siku sababu mmefungia pesa zao uko,kuna wajasiliamali wameshindwa kufanya biashara zao sababu yenu,iv mnaweza kuwalipa usumbufu mnao wafanyia?

Mkipigiwa sim huduma kwa wateja namba haipo,wasap hamjibu, Facebook mnajibu ila mkipewa lalamiko mnakaa kimya,huduma Kwa wateja ikifika kipengele cha halopesa mnakata sim.

Sasa nawaambiaa wahusika wote WA huo mtandao ni kwamba dogoli kinyamkela ☠️ 💀 Mzee wa samba soti,na makaratee ya usiku nawapa 24 hours muwe mshaludisha huduma nje na apo kitakacho tokea tusilaumiane mana mnakela mno.
Haloteli nimewakimbia walifjngia huduma za feza za rain yangu bila ya maelezo ...washenzi sana hao
 
Kuhama nahama na dawa Yao nawapa
Wewe jamaa unashindwq kua great thinker Halotel sio wa kulaumiwa ni wa kuonewa Huruma aisee huhisi kama limewakuta jambo zito maana kwa kampuni ya mawasiliano kukaa muda wote huo bila huduma kurudi maana yake tatizo ni zito,mifumo imefeli hata wewe kuna siku hua unaumwa hadi unashinda unalala siku nzima sio kupenda ni mfumo ume collapse,
Tuendelee kusubiri kunani maana sio kawaida kwa kampuni kubwa kufikia situation hiyo,
Mwenyewe hapa nimeamua kukopa tu maisha yaendelee maana jana nilitaka kutoa pesa nikaghairi nikasema asubuhi navyoingia job nitatoa loh mpaka sasa.....
 
Back
Top Bottom