Labda inategemea na sehemu lakini hata mimi natumia halotel kiukweli sasa hata ile kasi ya internet imepungua iliyotufanya kujiunga naoUnazungumZia halotel gani? Hii ninayotumia mimi au nyingine?
Kama ni nyingine tatizo ni simu yako.
Sidhani sababu Halotel wapo vizuri kuliko mitandao mengineLabda inategemea na sehemu lakini hata mimi natumia halotel kiukweli sasa hata ile kasi ya internet imepungua iliyotufanya kujiunga nao
Na nina baki hukuhuku maana tatizo lishapata ufumbuzi he he he! mambo mubashara voda likija wingu la mvua network inaanza kusuasua! tigo speed ya kobe mara uweke vocha igome msg deliver report kesho akha! bora halotel tatizo lishatatuliwa mambo mubashara sasaMbaki huko huko wengne huku voda na tigo tunaperuzi bila stress sikuwahi kufikiria kuhama
Na nina baki hukuhuku maana tatizo lishapata ufumbuzi he he he! mambo mubashara voda likija wingu la mvua network inaanza kusuasua! tigo speed ya kobe mara uweke vocha igome msg deliver report kesho akha! bora halotel tatizo lishatatuliwa mambo mubashara sasa
Hata mimi nadhani hajafanya setting kwenye simu yakeeUnazungumZia halotel gani? Hii ninayotumia mimi au nyingine?
Kama ni nyingine tatizo ni simu yako.
Kumbe tupo wengi.
Ilinitokea Jumamosi na Jumapili ambapo nilinunua kifurushi cha internet cha siku lakini kikawa kinakatika ndani ya muda mfupi sana.
Kila nilipopiga simu huduma kwa wateja na kuchagua kuongea na mtoa huduma simu ilikatika. Jana asubuhi nilipiga tena nilipoasikia "for Swahili press 1, for English press 2 nikaamua kupress 2 ili kama huduma itapatikana kwa kiingereza nilonge nao tu kwa kuwa kwa kiswahili imekosekana.
Kitu cha kushangaza nikasikia mtoa huduma ananikaribisha kwa kiswahili. Nilipomweleza tatizo yeye akawa anakomaa kuwa matumizi yangu ndio yalimaliza kifurushi. Nikamwambia kuwa nimetumia huduma ya kifurushi kama hicho cha siku kwa miezi kadhaa na kilikuwa kinatosha kwa siku nzima iweje sasa kiwe kinakata ndani ya masaa kadhaa. Akawa kakomaa tu na maelezo yake.
Kwa kweli nilivunjwa moyo sana.
Duuuh mimi hii halotel yangu inaspeed utafikili magari ya formula oneHalotel walianza kwa bwebwe nyingii sana ...sa hizii washaanza kuboa
Tigo na vodacom hapa Dodoma mjini ni kimeo hatarii. Tigo 4g haiwezi inadownload kitu cha mb 90 kwa masaa matatu! Aibu sana, halotel Dom wapo vizuri ila si kama zamani wakati naanza kuitumia, siku hizi internet yao haina kasi. Ila voda 4g kwa Dar es salaam ni suluhisho la matatizo ya internet. Wale wa dsm nawashauri watumie voda 4g hawatajuta.Mbaki huko huko wengne huku voda na tigo tunaperuzi bila stress sikuwahi kufikiria kuhama