TechWarlock
Member
- Sep 9, 2014
- 37
- 11
Habari zenu Wakuu,
Ninauza modem ya halotel 3G bado mpya kwa Tsh 20,000/- (ingawa inauzwa Tsh 30,000/- dukani), sababu kuu ni kuwa nimenunua simu yenye uwezo wa 4G ambayo naitumia sana kwa sasa kwa mahitaji ya internet, nipo Dar es salaam na itapendeza kama nawe utakua Dar kwa urahisi wa biashara. Nimeweka picha hapo chini ya hiyo modem.
Karibuni sana!
Ninauza modem ya halotel 3G bado mpya kwa Tsh 20,000/- (ingawa inauzwa Tsh 30,000/- dukani), sababu kuu ni kuwa nimenunua simu yenye uwezo wa 4G ambayo naitumia sana kwa sasa kwa mahitaji ya internet, nipo Dar es salaam na itapendeza kama nawe utakua Dar kwa urahisi wa biashara. Nimeweka picha hapo chini ya hiyo modem.
Karibuni sana!