Halotel janga jingine

Kiukweli natumia Halotel ila Speed yake imepungua Siku hizi haiwezi Kustream Live mpira ina goma goma sana
 
halotel ipo sawa mkuu compared to hawa wengine
 
ila hii halotel nami imeanza kunisumbua siku za hivi karibuni... bado ipo vizuri ila speed yake imepungua kuna muda inasumbua sana... sua morogoro
 
voda maeneo inapo patikana 3g nitamu pia
 
Reactions: 7ve
ni kweli kwa baadhi ya maeneo halotel inazingua sana, sio speed ila inakatakata kuna inasoma kabisa 3g lakini hata page moja haifunguki.
Ukiikutia inashika vizuri aaaa utapenda mwenyewe.
Binafsi wamenihuzunisha tu baada ya kuambiwa tar 19 ile kuperuz youtube bure haitakuwepo tena... but all in all halotel is the best kwa ishu ya internet na speed
 
Ukweli ni kwamba hawa jamaa limekuwa janga. Sio Songwe pekee, hata Mbeya ni tatizo. Mjini Mbeya ni mwendo wa kobe, na baadhi ya wilaya kama mbalali wengi wametupa simcard zao. Ukija hapa Iringa majanga. Hapa bongo maeneo ya kiwalani hakuna kitu ni mwendo wa kinyonga. Wacha turudi tulikotoka waendelee kutukamua lakini tupate Internet ya maana.
 
Hata huku mjini ni shida tupu
 
Halotel ni kiboko yao haya majungu tu! Wengine wote wajipange! Dar mpaka tukuyu,manyoni mpaka kigoma!
Sio majungu kiongozi, hawa jamaa wamifanya nibadilishe simu nikiamini kuwa simu nitumiazo pengine zinamatatizo. Lakini baada ya kubadili nyingine ndipo nilipogundua kuwa Internet yao iko chini. Tena chini sana kiasi mambo mengine muhimu huwezi kufanya.
 
Reactions: 7ve
Halotel ni bomba kama inazingua basi ni aitel yako mbovu
 
Halotel ni nafuu vifurushi vyake, ina kasi, huko ileje hata ikisumbua sio mbaya maana ni mbali sana usiwalaumu. Kama unabisha jaribu tigo au airtel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…