Naam, ni kweli hayo yameshatokea mara nyingi na sii kwa Halmashauri za upinzani pekee bali zote. Na linapotokea hilo ujue tayari ni mgogoro huo. Na mara nyingi Waziri aliyemteua huwa anaingilia kati kumtetea sana Mkurugenzi "wake" ili asiondolewe. Migogoro hiyo ndio kikwazo cha maendeleo.Nafikiri baraza la madiwani linauwezo wa kumkataa mkurugenzi au kutoshirikiana naye.
Iringa mjini Mbunge ni Chadema na wana madiwani wa Chadema 13 na CCM 4.iringa mjini je?
Siku za uchaguzi madiwani wa ukawa wanaweza wasipate barua za kikao,au wakapelekewa muda mfupi kabla ya uchaguzi,au wakawekewa bangi mfukoni ili wakamatwe ns kuswekwa lupango,au wakaleweshwa kwa madawa ya kulevya ili wasipige kura na vitimbi vingi vinavyofanana na hivyo.muwe makini makamanda.
Siku za uchaguzi madiwani wa ukawa wanaweza wasipate barua za kikao,au wakapelekewa muda mfupi kabla ya uchaguzi,au wakawekewa bangi mfukoni ili wakamatwe ns kuswekwa lupango,au wakaleweshwa kwa madawa ya kulevya ili wasipige kura na vitimbi vingi vinavyofanana na hivyo.muwe makini makamanda.
Fanya masahihisho: jimbo la Kyerwa CDM kata 13 CCM kata 11. Waliaamua kijitangazia Mbunge kwa mtutu wa bunduki hivyo wana viti 12. Zipo mbinu za siasa maji taka waipate halmshauri kwakuwa matajiri wachache jimbo hilo wamewekeza kupitia huko...tunawatahadharisha wasijaribu. Si kwamba hatuumii kuona walivyofanya kiti cha ubunge....ila tunaamini mahakama itatenda haki....
Wala haitakiwi iwepo!!Sahihisho: ACT haipo UKAWA.
Mtwara manispaaa CDM vit 11 CCM 7.
Kuna halmashauri ngp tz ili tupate ratio ya cdm vs ccm kabla hatuja commentKuna mwenye idadi halisi ya halmashauri zitakazo ongozwa na upinzani.
Hadi sasa hizi ni baadhi ya Halmashauri ambazo ni likely kuwa chini ya Ukawa(Masahihisho yanaruhusiwa)
Hivi kuna halmashauri ngp vile ile tpate ratio ya chama kipi kinaongoza halmashauri nyingi. Lol
1. Bukoba mjini UKAWA 9 CCM 5
2. Arush mjini UKAWA 24 CCM 1
3. Arumeru magharibi
4. Arumeru mashariki
5. Monduli
6. Halmashauri ya mji wa Babati
7. Simanjiro
8. Longido
9. Loliondo
10. Halmashauri ya Moshi UKAWA 27 CCM 5
11. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi UKAWA 20 CCM 2
12. Haimashauri rombo UKAWA 24 CCM 1
13. Mtwara mjini UKAWA 9 CCM 5
14. Lindi UKAWA 13 CCM 5
15. Kilombero
16. Ifakara
17. Halmashauri ya wilaya ya kyerwa UKAWA 10 CCM 7
18. Mtwara manispaa UKAWA 11 CCM 7
19. Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni?
20. Halmashauri ya wilaya ya Temeke?
21. Halmashauri ya wilaya ya Ilala?
22. Halmashauri ya Serengeti UKAWA 18 CCM 12
23. Halmashauri ya hai
24. Halmashauri ya siha
25. Halmashauri ya karatu
26. Halmashauri ya manispaa ya Iringa UKAWA 14 CCM 4
27. Tanga mjini kwenye idadi ya kata pls.
================
Kumbuka waziri mwenye dhamana na serikali za mitaa ana nafasi ya kuteua wajumbe 3-5 kujoin hzo halmashaurı.Kwa hyo wenye tofautı ya madiwani 2 au 3,wasahau.Wengne pia watanunuliwa.