Halmashauri ya mji Rufiji(utete)

Halmashauri ya mji Rufiji(utete)

Ravalomanana

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2018
Posts
1,633
Reaction score
1,608
Serikali imeipandisha hadhi mamlaka ya mji mdogo utete(Rufiji) kua halmashauri ya mji huku ikiwa na idadi ndogo sana ya watu(6600) Kwa mujibu wa sensa ya 2022 ,lakini moja ya kigezo kikubwa ni watu angalau 30,000 wanaoishi eneo la mji ,but miji yenye hadhi na idadi kubwa ya watu haipewi hadhi hiyo je hii imekaaje wadau
 
Back
Top Bottom