Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni mko serious?

kyemo

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2010
Posts
570
Reaction score
720
Inaisha wiki ya tatu sasa nafuatlia leseni ya biashara katika ofisi za halimashauri manispaa ya kinondoni lakini ninachoambulia ni maneno yaleyale kila siku,'leseni bado hazijafika kutoka huko wanakoagiza na taarifa washatoa kwa ngazi zinazohusika''. Kiukweli mnaturudisha nyuma kimaendeleo na mnachangia umasikini kuota mizizi, jirekebisheni kazi hazifanywi kwa mazoea.
 
Anza biashara wewe, hayo mengine yatakuja wakati unafanya yako.
 
Leseni zote za biashara zonatoka makao makuu yaani wizarani, ndo maana zote zina mwonekano sawa kutokana na Lesen kuwa chanzo cha mapato katika Halmashauri, kila halmashauri inazitaka kwa wingi ikiwemo kinondoni, na vile vile mahitaji yamekuwa makubwa mno kwa kuwa wananchi wameitikia wito
 
Serikali sasa hivi iko likizo ya Katiba mpya.
Hakuna kinachoenda.
 
Bongo urasimu unaturudisha Sana nyuma
 
Siwez kuanza biashara coz inabidi nikusanye document zote then nipeleke kunakohusika kwa ajili ya kupata vibali na vitendea kazi vya biashara,so leseni ndio imebaki kikwazo,nashindwa kusubmit hzo document
 
Kwa hiyo kikwazo ni wizara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…