Leseni zote za biashara zonatoka makao makuu yaani wizarani, ndo maana zote zina mwonekano sawa kutokana na Lesen kuwa chanzo cha mapato katika Halmashauri, kila halmashauri inazitaka kwa wingi ikiwemo kinondoni, na vile vile mahitaji yamekuwa makubwa mno kwa kuwa wananchi wameitikia wito