Halmashauri Vs Ajira za kilimo

Halmashauri Vs Ajira za kilimo

Nyamajiva

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
210
Reaction score
23
Wana Jf nimejaribu kuulizia baadhi ya halmashauri za wilaya wengi tumeambiwa twende nyumbani na tutajulishwa kupitia namba za simu. je tatizo ni nini kutuweka mtaani tena badala ya kwenda kuwajibika kwa wakulima na maeneo yanayotuhusu? mwenye mawazo chanya na majibu nayaombu kwani DALDO wangu hapokei nikimpigia halafu ni mwanamke, inakuaje apo! karibuni wadau.
 
Ucwe na haraka subiri mwaka mpya wa fedha tarehe 1/7/
 
Ajira zenyewe tumezipata kwa taabu na tena bado tuendelee kusubiri mpaka lini
 
Ajira zenyewe tumezipata kwa taabu na tena bado tuendelee kusubiri mpaka lini

kama alivyosema mdau hapo juu,subiri mwaka wa fedha, ukiripoti sasa hivi utalipwa nini? na hamtaki kujitolea?
 
kama alivyosema mdau hapo juu,subiri mwaka wa fedha, ukiripoti sasa hivi utalipwa nini? na hamtaki kujitolea?

Shukran kwa ilo ila kitaa ukisikie kwa mwenzio sio kikukute wewe inauma mno!
 
Back
Top Bottom