Halmashauri Jiji la Arusha lakaidi amri halali ya Serikali

2hery

JF-Expert Member
May 27, 2011
4,700
4,625
Ikiwa takribani miaka miwili tangu serikali kutangaza kubadili mfumo wa ukusanyaji mapato na kuwa wa kieletroniki, Uongozi wa jiji la Arusha chini ya usimamizi wa CHADEMA umekaidi amri hiyo pamoja na sheria zake na kuendelea kutumia risiti za vitabu.

Vyanzo vyetu vimebaini hali hii ambayo inaikosesha serikali mapato kupitia mradi wa maegesho ya magari ulioanza tangu Januari 2,2017. Tunaiomba serikali kuu kufuta wizi huu halali ambao unaelekea kukua na hakuna wa kulisemea maana hata taasisi nyingine mkoani humo huonekana kutotumia mfumo wa kieletroni kutoa risiti pindi malipo yafanyikapo.

CHADEMA igeni mfano wa Halmashauri ya Morogoro ambayo hutumia mfumo huo ambao unaoneka kuondoa ubabaishaji lau sivyo

tmp_16652-20170309_080106307879387.jpg
 
asee mkuu wa mkoa sindo kazi zake...meya na mbuge mnasemaga hawana nguvu...inabdi wataftwe walio toa hyo tenda...
 
Serikali yaingilia mamlaka ya jiji la dar lililo chini ya chadema.

Yafuta hati na kubafilisha matumizi ya ardhi wilayani kinondoni. .........
 
Ikiwa takribani miaka miwili tangu serikali kutangaza kubadili mfumo wa ukusanyaji mapato na kuwa wa kieletroniki, Uongozi wa jiji la Arusha chini ya usimamizi wa CHADEMA umekaidi amri hiyo pamoja na sheria zake na kuendelea kutumia risiti za vitabu.

Vyanzo vyeti vimebaini hali hii ambayo inaikosesha serikali mapato kupitia mrafi wa maegesho ya magari ulioanza tangu Januari 2,2017. Tunaiomba serikali kuu kufuta wizi huu halali ambao unaelekea kukua na hakuna wa kulisemea maana hata taasisi nyingine mkoani humo huonekana kutotomia mfumo wa kieletroni kutoa risiti pindi malipo yafanyikapo.

CHADEMA igeni mfano wa Halmashauri ya Morogoro ambayo hutumia mfumo huo ambao unaoneka kuondoa ubabaishaji lau sivyo

View attachment 478417
Nadhani ifike mahali Arusha iige mfano wa manispaa ya moshi kuanzia mkoa wilaya na halmashauri wako pamoja katika kujenga mji, moshi ccm tayari wameshatambua hawana halmashauri tatizo sijui kwa arusha ni nini au bado wako na election hangover?
Arusha na Dsm mwashangaza, kwanza lazima ccm ikubali haina halmashauri zaidi ni kukaa tu na chama chenye jiji kujenga

Lakini kwa sababu ndio mtindo wa mtukufu yule, hakuna mabadiliko
 
Hela zinazokusanywa na serikali kuu huwa zinafanyiwa kazi gani
Tukienda hivi hatutafika.. Pale shinyinga stand ya mabasi na ushuru wowote wanatumia machine, Morogoro pia.Tuangalie kwanza mfumo wa ukusanyaji kwenye taasisi..
 
Ikiwa takribani miaka miwili tangu serikali kutangaza kubadili mfumo wa ukusanyaji mapato na kuwa wa kieletroniki, Uongozi wa jiji la Arusha chini ya usimamizi wa CHADEMA umekaidi amri hiyo pamoja na sheria zake na kuendelea kutumia risiti za vitabu.

Vyanzo vyeti vimebaini hali hii ambayo inaikosesha serikali mapato kupitia mrafi wa maegesho ya magari ulioanza tangu Januari 2,2017. Tunaiomba serikali kuu kufuta wizi huu halali ambao unaelekea kukua na hakuna wa kulisemea maana hata taasisi nyingine mkoani humo huonekana kutotomia mfumo wa kieletroni kutoa risiti pindi malipo yafanyikapo.

CHADEMA igeni mfano wa Halmashauri ya Morogoro ambayo hutumia mfumo huo ambao unaoneka kuondoa ubabaishaji lau sivyo

View attachment 478417
Wewe ni Diwani au
 
Wewe ni Diwani au
HAJALISHI AWE NI DIWANI AU LA. WATUMIE MCHINE ZA EFD NA KUWEZESHA SERIKALI KUU KUPATA KODI YAKE YA VAT KWANI HIYO NI BIASHRA WANAYOIFANYA KAMA WAZA SODA VYAKULA NK. NA KAMA HAWALIPI KODI YA MAPATO TRA HAWA WATEJA WENU KAMATA HARAKA
 
HAJALISHI AWE NI DIWANI AU LA. WATUMIE MCHINE ZA EFD NA KUWEZESHA SERIKALI KUU KUPATA KODI YAKE YA VAT KWANI HIYO NI BIASHRA WANAYOIFANYA KAMA WAZA SODA VYAKULA NK. NA KAMA HAWALIPI KODI YA MAPATO TRA HAWA WATEJA WENU KAMATA HARAKA
Mkuu kinachotakiwa ndio hicho... Tukipaza sauti tutasikilizwa...
 
au wewe ni dereva wa serikalini?manake namba zile,heheh
Mkuu tukichukuwa mambo kwa ubinafsi hatutafika.. Tunachojaribu ni kuijenga Tanzania yetu mpya yenye kufuata misingi ya sheria na kanuni tulizojiwekea ambazo ni halali..
 
Uongozi wa jiji la Arusha chini ya usimamizi wa CHADEMA umekaidi amri hiyo pamoja na sheria zake na kuendelea kutumia risiti za vitabu.

kama kweli ulikuwa na nia njema hakukuwa na haja ya kusema hayo maneno hapo juu
Mkuu tukichukuwa mambo kwa ubinafsi hatutafika.. Tunachojaribu ni kuijenga Tanzania yetu mpya yenye kufuata misingi ya sheria na kanuni tulizojiwekea ambazo ni halali..
 
hizi mashine zinatolewa na nani?
na hizo pesa zinazokusanywa ni kwa ajili ya jiji au serikali?
 
Back
Top Bottom