MUSSA MBOGONI
Member
- Apr 14, 2019
- 9
- 1
Nataka kufungua work shop ya carpentry hapa Dar nataka kununua vifaa vidogovidogo used nitakavyoanza navyo najua vipo vingi mtaani kama kuna mtu ana connection tuwasiliane wakuu...
Kama nini na niniNataka kufungua work shop ya carpentry hapa Dar nataka kununua vifaa vidogovidogo used nitakavyoanza navyo najua vipo vingi mtaani kama kuna mtu ana connection tuwasiliane wakuu...