Halipi nauli ingawa ana ....

Bitoz

JF-Expert Member
Aug 27, 2015
30,823
126,538
2859291a26841a6fc2c0487a2ffccdf2.jpg

Kweli dunia hapo fair mtu mwenye viungo kamili na unaweza kutembea kwa fujo na mshahara juu lkn hawalipi nauli ila wale wenye viungo pungufu na hawana kazi na hawawezi kutembea wanalipishwa nauli....
 
2859291a26841a6fc2c0487a2ffccdf2.jpg

Kweli dunia hapo fair mtu mwenye viungo kamili na unaweza kutembea kwa fujo na mshahara juu lkn hawalipi nauli ila wale wenye viungo pungufu na hawana kazi na hawawezi kutembea wanalipishwa nauli....
Sasa jamani nani atalipa nauli?
 
Ukisema walemavu wasilipe itaonekana tumewanyanyapaa
Ningeshauri ubadili lugha yako mkuu, badala ya kusema itaonekana tumewanyanyapaa sema itaonekana wamenyanyapaliwa, huijui kesho yako mkuu usiweke gap kati yako na 'wao' .....
 
Ningeshauri ubadili lugha yako mkuu, badala ya kusema itaonekana tumewanyanyapaa sema itaonekana wamenyanyapaliwa, huijui kesho yako mkuu usiweke gap kati yako na 'wao' .....
Hajui kwamba kila mtu before death is a DISABLE...Hujafa hujaumbika
 
2859291a26841a6fc2c0487a2ffccdf2.jpg

Kweli dunia hapo fair mtu mwenye viungo kamili na unaweza kutembea kwa fujo na mshahara juu lkn hawalipi nauli ila wale wenye viungo pungufu na hawana kazi na hawawezi kutembea wanalipishwa nauli....
Uwiiuiiiiii
 
Back
Top Bottom