Jana ilikuwa lini? Ijumaa? Yatakuwa matunda njia ya msalaba hiyo.Bila ya shaka jana ulienda kuungama,hauwezi ukawa mtakatifu ghafla kiasi hiki.
Hivi jana ulinambia nimwulize nini Z? Valeur ilipoteza netiweki.hii nayo imekaa njema KIAINA
kwani nilikuwa shetani?
Twenzetu tukazimue maeneo ya Shimo la Udongo. Kuna makongoro ya kitimoto yanakata mning'inio vibaya mno.Kwa hiyo unataka kusema ninadesa si ndio.Lakini inawezekana kwani tangu morning nahisi kama nina hangover flani hivi.
Mmmmmh No sweet.Nina maana leo umetukuka kila eneo kilugha,kimatamshi bila ya shaka na kimatendo pia.
Tubu na kuiungama injili nikurudishe kundini.kwani nilikuwa shetani?
Hapo kwenye red tutahitaji ushahidiMmmmmh No sweet.Nina maana leo umetukuka kila eneo kilugha,kimatamshi bila ya shaka na kimatendo pia.
Aroo hiri rimjamaa rimemwaga pwenti asee!Mkaribishe kwako, usilipe baya kwa baya Mama! Maana mabaya hayataisha nyumbani kwako.. Kama huyo Mchumba wako ni tabia yake ataingia line tena. Utakuwa umejinasua nae..
Aroo hiri rimjamaa rimemwaga pwenti asee!
Tubu na kuiungama injili nikurudishe kundini.
Hapo kwenye red tutahitaji ushahidi!!!!!!!
Hehehe! Ukiona hivyo ujue hangover inakaribia kukatika.Umestukia mpwa,tatizo mimi na wewe tulikuwa tunazunguka.
Dah! Ngoja nikaikonsalti TUKI. Hehehe! Huo ung'eng'e kwa sisi tulipiga skuli mpaka fom foo B shule za kata tunatoka kapa hapo. Ma x-axis na ma y-axis LOLZ! Kwa huyu binti solid evidence ni LAZIMA. Otherwise you are done!Mpwa wewe utakuwa ulisoma masomo ya biashara,waliosoma hesabu kuna kitu wanaita extrapolation kama sijakosea,kama ametukuka kilugha,kimatamshi,tukiextrapolate to the x-axis unakuta na kimatendo pia.upo hapo mpwa,ukitaka solid evidence kwa kweli sina.
Hehehe! Ukiona hivyo ujue hangover inakaribia kukatika.
Dah! Ngoja nikaikonsalti TUKI. Hehehe! Huo ung'eng'e kwa sisi tulipiga skuli mpaka fom foo B shule za kata tunatoka kapa hapo. Ma x-axis na ma y-axis LOLZ! Kwa huyu binti solid evidence ni LAZIMA. Otherwise you are done!
Tatizo kale kabatani kwa ajili ya yuzifuli posti hujakaona mpwa. Dah! Hehehehe!Haya bwana kwa leo mshindi wewe.
bht please dont compare yourself with this person highlighteddah Aninna best huyo angenipata roho ya Idd Amin kama mimi angejuuuuuuuuuuuuta ................
hahaaa don be scared najua sitamfikia kwa ukatili mweeeeh!!!bht please dont compare yourself with this person highlighted
hahaaa don be scared najua sitamfikia kwa ukatili mweeeeh!!!
ila huyo shangazi nadhani ningefunga naye chapter by now....
Aninna your are a good person with a good heart......ulimsamehe
usimkaribishe kwako, kwani usingekuwepo je.....afanye taratibu za pa kukaa mwenyewe bana achana nae asije akaharibu tena.....
hahaaa don be scared najua sitamfikia kwa ukatili mweeeeh!!!
ila huyo shangazi nadhani ningefunga naye chapter by now....QUOTE]kumbe sometimes nawe mbabe eeh
Aninna your are a good person with a good heart......ulimsamehehapa na kubaliana na wewe, hakuna sababu Annina hakose usingizi kwa kuogopa kijana wake night atahama kitanda na kuhamia kwa shangazi yake wakati yeye anakoroma....mwisho wa siku anaona kitumbo cha shangazi mbele ndio atalia na kusaga menousimkaribishe kwako, kwani usingekuwepo je.....afanye taratibu za pa kukaa mwenyewe bana achana nae asije akaharibu tena.....
hahaaa don be scared najua sitamfikia kwa ukatili mweeeeh!!!ila huyo shangazi nadhani ningefunga naye chapter by now....QUOTE]kumbe sometimes nawe mbabe eeh
hapa na kubaliana na wewe, hakuna sababu Annina hakose usingizi kwa kuogopa kijana wake night atahama kitanda na kuhamia kwa shangazi yake wakati yeye anakoroma....mwisho wa siku anaona kitumbo cha shangazi mbele ndio atalia na kusaga meno
kwenye changu mimi ni mbabe always wala sitanii hapa.......nakwambia wala asingethubutu hata ku-imagine kuwa anashangazi kule anakokwenda kufanyia internship!!!!!
anaything is possible with such a shameless shangazi, sasa kuepuka balaa jingine asimpe nafasi ya kurudia kosa (ili ndo aonekane kakosea sasa)
mpotezeee mwambie atafute kivyake kwani wewe ndo ulimpangia kuja huko??
nimelazimika kukushauri usimsamehe hata tone, pls pls pls hakikisha unakaa nae mbali sana alipaswa kufikiria haya yote kabla ya kukusaliti, bi maana kujua kama kuna leo na kesho, kama wanasema kosa si kosa ila kurudia hapa utakua ni mwenye kurudia kosa pls dont imenitouch sana pls dont.