Halimashauri mpya zitakazoongozwa na UKAWA

Halimashauri mpya zitakazoongozwa na UKAWA

Keneth

Senior Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
195
Reaction score
47
Baada ya kutafakari na uzoefu wangu katika masuala ya habari na siasa nimegundua halmashauri zitakazoongozwa na UKAWA kuwa ni
  1. Arusha
  2. Mbeya
  3. Iringa
  4. Moshi
  5. Karatu
  6. Monduli
  7. Mwanza
  8. Nyamagan
  9. Kindondoni
  10. Singida Mashariki
  11. Kahama
  12. Nzega
  13. Bunda
N.K kwa mwingine anayeona zinaweza ongezeka
 
14.songea
15.Ilala
16.Kinondoni
17.Ubungo
18.Rombo
19.Hai
20.Rungwe
21.kilombero
22.Mtwara
23.Njombe
24.Momba
25.Rungwe
26.Kerwa
27.Sengerema
28.Musoma mjini
29.Tarime
30.Kyera
 
Baada ya kutafakari na uzoefu wangu katika masuala ya habari na siasa nimegundua halmashauri zitakazoongozwa na UKAWA kuwa ni
  1. Arusha
  2. Mbeya
  3. Iringa
  4. Moshi
  5. Karatu
  6. Monduli
  7. Mwanza
  8. Nyamagan
  9. Kindondoni
  10. Singida Mashariki
  11. Kahama
  12. Nzega
  13. Bunda
    musoma
    Tarime
    geita.

    swissme
N.K kwa mwingine anayeona zinaweza ongezeka
mikumi kwa Jay.
swissme
 
Baadae mtakuja kulalamika JF Usalama wa Taifa wameiba kura.
 
Baadae mtakuja kulalamika JF Usalama wa Taifa wameiba kura.
Kwa hiyo CCM haiwezi kushinda bila usalama wa taifa na wizi wa kura?.Kama inaweza kwa nini unatoa angalizo? unless otherwise tusubiri oktoba.Mzee kingunge alishawahi kusema ushindi ni lazima sasa sijui ndio goli la mkono au?.
 
Kwa hiyo CCM haiwezi kushinda bila usalama wa taifa na wizi wa kura?.Kama inaweza kwa nini unatoa angalizo? unless otherwise tusubiri oktoba.Mzee kingunge alishawahi kusema ushindi ni lazima sasa sijui ndio goli la mkono au?.
Hayo ndiyo malalamiko yenu haukumbuki rais wenu wa miyoni Dr.Slaa alivyokuwa analalamika kura zake za urais ziliibiwa na usalama wa taifa.
 
Hayo ndiyo malalamiko yenu haukumbuki rais wenu wa miyoni Dr.Slaa alivyokuwa analalamika kura zake za urais ziliibiwa na usalama wa taifa.

Hivi sio kweli eeeh!Mie sijui.Ngoja tusubiri mwaka huu mie naamini CCM itashindwa kihalali kabisa.
 
Back
Top Bottom