Asalam Aleikum waungwana. Kwa mara ya kwanza nimemuona kwenye clip kamanda Mdee akimwaga hoja bungeni na I must admit huyu dada yupo makini. Ni kweli machache nijuayo kuhusu yeye najua kwamba ana masters ya laws lakini kuongea kwa ujasiri namna vile huku amezungukwa na wanyonya damu mbumbumbu zaidi ya 200 toka CCM, wabunge wafu kadhaa toka CUF na vibaraka wengine toka NCCR, TLP na UDP si mchezo. Kwa mtazamo wangu, yupo juu zaidi ya Zitto na Mnyika. Kwamba ni yeye binti ni bonus nyingine. NA zaidi nafurahi kuwa ni binti msomi wa kiislamu amabe nina uhakika kwa miaka mingi ijayo atakuwa taa ya kuonyesha njia waislamu kwa wakristo mpaka waje kula mema ya nchi yao siku moja. Atakae muoa huyu, atakuwa ame-hit jack pot.