Huu sio Ukenge, Mbunge anawajibika kwa wananchi wake waliomchagua, yeye ndio sauti yetu kwa serikali. Tunajua kuna hela zipo za budget ya barabara na hata siku ile aliokuja alisema hela zilikuwepo so nikufuatilia tu. Ukiomba chakula kwa baba yako sio maana apike na akulishe, jukumu lake ni kuleta chakula then wapo watendaji watashughulika mpka kinapikwa na watu wanakula na wengine watalishwa. Understand hilo mkuu na jua haki zako. hii sio tabu, tunamuonyesha jinsi gani anavyokuwa mzembe na kazi yake, au unataka aje JK ajenge? kuwa serious bwana na topics serious kama wataka joke zipo uzi za jokes.