figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,692
- 59,195
adai wataandamana hadi kieleweke na wataendelea kutoa elimu kwa raia hadi kila mtu atende wajibu wake.
adai wataandamana hadi kieleweke na wataendelea kutoa elimu kwa raia hadi kila mtu atende wajibu wake.
Inatakiwa auze nini?
mchungaji kwani unangojea upewe jibu gani?Inatakiwa auze nini?
dah! kweli,umenikumbusha nyama ya mbuzi choma.CHUCHU BAR ipo juu.Halima Mdee una Chupa moja ya Wine hapa CHUCHU BAR pembeni ya CBE-Dodoma!
dah! kweli,umenikumbusha nyama ya mbuzi choma.CHUCHU BAR ipo juu.
Damn, wameshakula umeme wao.
mpaka saa tano usiku si nitazimia mie bila mwanga.
ngoja nitafute njuka mmoja akaniletee mafuta ya taa ya sh mia hivi na ushee!!