Hali yazidi kuwa tete: Cocacola kufunga kiwanda cha Zanzibar!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,658
15,793
Hali yazidi kuwa tete. Hizi habari sio njema sana na ni pigo kubwa sana kwa nchi ya viwanda tuitakayo.

Habari kutoka jikoni zinasema kuwa kampuni ya uzalishaji wa vinywaji baridi ijulikanayo kama Cocacola iko mbioni kukifunga kiwanda chake cha Z'bar kutokana na uzalishaji kutokidhi gharama za uendeshaji.

Sasa baada ya kufunga mahoteli, pigo limehamia kwenye viwanda. Tuendelee kusubiri mpaka hii movie iishe.
 
kwa hiyo walisema kuwa wamekifunga hicho kiwanda kutokana na ugumu wa maisha kwamba watu hawanywi soda? hebu acheni kusambaza hofu zisizo na misingi, tulikuwa na viwanda vingi sana kama general tyres, mutex, n.k lakini vilifungwa enzi hizo tena kipindi cha mwalim na mwinyi, haya mambo yanatokeaga tu kwenye makampuni na yasilazimishwe kuwa indicator of economical crisis.
 
...yale mabilioni (125) tunayoidai SMZ ya Zanzibari wameshatulipa!!?

By Tanesco.
 
kwa hiyo walisema kuwa wamekifunga hicho kiwanda kutokana na ugumu wa maisha kwamba watu hawanywi soda? hebu acheni kusambaza hofu zisizo na misingi, tulikuwa na viwanda vingi sana kama general tyres, mutex, n.k lakini vilifungwa enzi hizo tena kipindi cha mwalim na mwinyi, haya mambo yanatokeaga tu kwenye makampuni na yasilazimishwe kuwa indicator of economical crisis.

kwa hiyo ilikuwa ni sahihi kufunga hivyo viwanda mfano ulivyotaja???

SEMA USIKIKE...

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Watu wengine bora tu mlikuwa wachangiaji wa JamiiForums maana Mungekuwa madaktari Mgekuwa mmeshauwa wagonjwa kwa pressure
SIO KWA FRONT PAGES HIZI
 
Uku watu kutwa wanashinda maskani kujadili siasa... na mambo mengne....maskani za.kahawa za wazee kutwa mtu ikifka mchana ende kwake akale amlale mkewe arud tena maskani...pesa zitapatkana wap watu wanywe soda? kisha watu wa pwani n wapenz wa juice za miwa...pia bakhareesa kaharbu soko la coco cola kwa sasa uku watoto weng na watu wazma wananunua vinywaj vya azam

Pia kama wamefirisika waache wafunge hcho kiwanda tutafugia kuku.
 
Uku watu kutwa wanashinda maskani kujadili siasa... na mambo mengne....maskani za.kahawa za wazee kutwa mtu ikifka mchana ende kwake akale amlale mkewe arud tena maskani...pesa zitapatkana wap watu wanywe soda? kisha watu wa pwani n wapenz wa juice za miwa...pia bakhareesa kaharbu soko la coco cola kwa sasa uku watoto weng na watu wazma wananunua vinywaj vya azam

Pia kama wamefirisika waache wafunge hcho kiwanda tutafugia kuku.
Soda ilikuwa kipindi cha mkapa

Huu sijui mwaka wa nne ladha ya soda siijui

Soko ya soda saizi hakuna na matumizi ya soda yamepungua sana

Ongezeko ya pombe
Full sana,azam cola nk nk
 
Hiyo business plan yakuwka kiwanda cha soda zanzibar waliikosea a locating....watu wa pande ile mabahir kwel
 
Kuna dhana potofu inaenezwa inayopunguza kasi ya unywaji wa soda. Kwamba soda inasababisha kansa, ina makemkali makali yanayoweza kuyeyusha mfupa hata wa ng'ombe.

Kuna wasabato masalia hawanywi kabisa soda wanakwambia zina kemikali.

Mambo haya yote wasipopambana nayo yataua kabisa soko la soda.
 
Hali yazidi kuwa tete. Hizi habari sio njema sana na ni pigo kubwa sana kwa nchi ya viwanda tuitakayo.

Habari kutoka jikoni zinasema kuwa kampuni ya uzalishaji wa vinywaji baridi ijulikanayo kama Cocacola iko mbioni kukifunga kiwanda chake cha Z'bar kutokana na uzalishaji kutokidhi gharama za uendeshaji.

Sasa baada ya kufunga mahoteli, pigo limehamia kwenye viwanda. Tuendelee kusubiri mpaka hii movie iishe.
Uzalishaji kutokidhi gharama za uendeshaji? Uzalishaji=production; Gharama za uendeshaji = Operational costs, hapa unaaanisha nini?
 
Back
Top Bottom