Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,101
- 34,055
Ulipomwambia wife hivyo kwanini hakuja Mara moja?Mkuu nilimpigia wife simu nikamwambia kwa hali nayoiona ingewa ni kwa mtoto Basi Ni majaliwa yake Mungu.
Kabla ya kwenda migombani hakujua kuwa hali yako sio nzuri ili abaki nawewe?
BTW, Mungu wa mbinguni akuponye na kukufanya mzima tena ili uendelee kumuabudu.