Hali ya umeme tete, Rais futa TANESCO

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Jun 2, 2015
2,147
1,405
Umeme kukatika kwa muda mrefu bila taarifa.

Umeme kukatikatika kama mtoto anachezea kiwashio

Madeni lukuki ya shirika.

Mh Rais lifute hili shirika kwa maana limeshafilisika. Huyo mkurugenzi aliyepo hapo nae ndiyo ameshindwa kazi, labda kama bado anaikamilisha ya u double agent..kazi maalum nachoamini kwa data alizonazo inatosha.

Kuanza moja sio ujinga. Tuwaachie wale wanaoona shirika hili labda liende kwao. Kitu ambacho hakuna atakayelitaka hata kwa kuligawa bure.
Nakumbuka ahadi yako pale Kinyerezi...
 
Wiki iliyopita Naibu waziri alipoenda Kinyerezi kuangalia mitambo mipya si alitangaza umeme kukatika ni historia kwa sasa, Kweli tusiamini hawa viongozi wetu.
 
mkuu ni
umeme kukatika kwa muda mrefu bila taarifa.

umeme kukatikatika kama mtoto anachezea kiwashio

Madeni lukuki ya shirika.



Mh Rais lifute hili shirika kwa maana limeshafirisika. Huyo mkurugenzi aliyepo hapo nae ndiyo ameshindwa kazi,labda kama bado anaikamilisha ya u double agent..kazi maalum nachoamini kwa data alizonazo inatosha.
Kuanza moja sio ujinga. Tuwaachie wale wanaoona shirika hili labda liende kwao. Kitu ambacho hakuna atakayelitaka hata kwa kuligawa bure.
Nakumbuka ahadi yako pale kinyerezi...

mkuu hali ni tete uku mikoani ni balaa..umeme unarudi saa sita usiku...sasa sijui ...ni nini kinaendelea watu tumelala ndiyo wanarudisha umeme...
 
Kuna line kubwa wanajenga......lazima wazime umeme kujenga line kubwa hizo....tuvumie kidogo
Hiyo line inajengwa bila kutoa taarifa ya kukata umeme? Mbona mwanzo watumiaji wa umeme walikuwa wanapewa taarifa ya kukatika kwa umeme? Lipo jambo ilinaendelea katika hili tatizo na wahusika wanakuwa waoga kutamka!
 
Kuanzia lini mlishawahi kujitosheleza nishati ya umeme? Au ndiyo lawama tu kila kitu marais wote wameondoka hili tatizo hawakuwahi kulimaliza
Umenena vyema mkuu,kwa taifa hili bado hamjafikia level ya kua na umeme wakujitosheleza,kiasi kwamba pasiwe na tatizo.
 
Yaani hilo lishetani li tanesco ni la kulisomea albadir kabisa, wapigwe albadiri kuanzia mkurugenz mpaka mfagiaji damn it!
 
umeme kukatika kwa muda mrefu bila taarifa.

umeme kukatikatika kama mtoto anachezea kiwashio

Madeni lukuki ya shirika.

Mh Rais lifute hili shirika kwa maana limeshafirisika. Huyo mkurugenzi aliyepo hapo nae ndiyo ameshindwa kazi,labda kama bado anaikamilisha ya u double agent..kazi maalum nachoamini kwa data alizonazo inatosha.
Kuanza moja sio ujinga. Tuwaachie wale wanaoona shirika hili labda liende kwao. Kitu ambacho hakuna atakayelitaka hata kwa kuligawa bure.
Nakumbuka ahadi yako pale kinyerezi...
nasikia ujenzi wa fly over pale ubungo ni tatizo, wanabadilisha line
 
Huku kusini (Ntwala) umeme unawaka saa 6 Usiku halafu unakatwa saa 9 alfajiri...

Umeme na maji Tanzania imeshakuwa kero
 
umeme kukatika kwa muda mrefu bila taarifa.

umeme kukatikatika kama mtoto anachezea kiwashio

Madeni lukuki ya shirika.

Mh Rais lifute hili shirika kwa maana limeshafirisika. Huyo mkurugenzi aliyepo hapo nae ndiyo ameshindwa kazi,labda kama bado anaikamilisha ya u double agent..kazi maalum nachoamini kwa data alizonazo inatosha.
Kuanza moja sio ujinga. Tuwaachie wale wanaoona shirika hili labda liende kwao. Kitu ambacho hakuna atakayelitaka hata kwa kuligawa bure.
Nakumbuka ahadi yako pale kinyerezi...
Acha uchochezi mkuu au ndio Mange amekueleza hayo?
 
Back
Top Bottom