Hali ya umasikini kwa mikoa ya Tanzania

Hali ya umasikini kwa mikoa ya Tanzania

NyotaMalaika

Senior Member
Joined
Aug 6, 2012
Posts
167
Reaction score
78
33f521e3b17b5d772fe4b9142e5927be.jpg
 
Sawa, taarifa zimetufikia, mambo kama haya ni sawasawa na kinyesi, ni aibu kwa taifa, siyo mambo yakuweka hadharani. Umasikini siyo kitu chakujivunia
 
Umaskini gani mnao uzungumzia hapa? Hivi ukienda vijijini unaweza kweli kusema wenyeji wa Katavi, Lindi,Dodoma na Pwani wako well off kuliko wenyeji wa Bukoba Rular - takwimu hizi mnaziokoteza wapi?
 
Hizi ni takwimu za mjini au vijijini?

Maana kama ni mpaka vijijini, pwani na Arusha, au Lindi na Dodoma.........nina mashaka
 
Back
Top Bottom