passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,803
- 13,034
Naomba watanzania tuamke Hali ya ufisadi ni mbaya Sana kwenye nchi yetu Chini ya huu utawala, tukemee huu ufisadi aisee.
Mfano kwenye utawala huu walisaini ujenzi wa Reli lot 3 na 4 ambao umesababisha hasara kubwa watu wamepiga pesa, kutokana na CAG lot 1, 2 na 5 uliosainiwa na Magufuli hamna shida yoyote lakini lot 2 na 3 watu wamepiga pesa.
Pia kuna upotevu wa B500 watu wameongea Pesa hizo kwenye miradi, ila kwakuwa watanzania hamjali Acha wajanja wapige pesa, huu utawala unanuka ufisadi natamani huyu Rais aondoke tu.
Mfano kwenye utawala huu walisaini ujenzi wa Reli lot 3 na 4 ambao umesababisha hasara kubwa watu wamepiga pesa, kutokana na CAG lot 1, 2 na 5 uliosainiwa na Magufuli hamna shida yoyote lakini lot 2 na 3 watu wamepiga pesa.
Pia kuna upotevu wa B500 watu wameongea Pesa hizo kwenye miradi, ila kwakuwa watanzania hamjali Acha wajanja wapige pesa, huu utawala unanuka ufisadi natamani huyu Rais aondoke tu.