Ni wapiga "kula" hao.Msiwasumbue jamani.Hapo hakuna hata mmoja mwenye kitambulisho
Kwa kweli ni wapiga kulaNi wapiga "kula" hao.Msiwasumbue jamani.
Mkuu, vp member mwenzetu ana chura au hana? ๐Huo mpira uliouweka hapo mbele unaniambia uanze tu kutumia jina lako la "sirikale"!Nimekutambua.Nilikuwa nimetoka kununua furu mwaloni nikakuona uso kwa macho.
So machinga ndio watanzania tunaoishi nao acheni ubaguziHakuna pa kupita watu wa miguu
Malizeni yale masoko haraka mnajenga vitu gani haviishi nyie
View attachment 1943672
View attachment 1943673
View attachment 1943674
View attachment 1943675
View attachment 1943676
View attachment 1943677
View attachment 1943678
Weye unawabunulia ubeche,kofia,tisheti na talawanda halafu wenyewe wanakujaalia "kula" kwa miaka mitano.Wako very humble!๐๐๐๐Kwa kweli ni wapiga kula
Umeanza fujo.Huyo ni mtawa anayevaa mavazi kama Mama Tereza wa Calcutta.๐๐๐๐๐Mkuu, vp member mwenzetu ana chura au ana? ๐
Heri hao wamachinga kulko vibaka wa mitaan wasiofany kazi yoyoteWameshaenea njia ya wapita kwa miguu kwa sasa wanasogea mdogo mdogo kwenye njia ya magari
๐ ๐ kwamba sisi wengine kula zetu si lolote si chochote basi sawaWeye unawabunulia ubeche,kofia,tisheti na talawanda halafu wenyewe wanakujaalia "kula" kwa miaka mitano.Wako very humble!๐๐๐๐
Umeanza fujo.Huyo ni mtawa anayevaa mavazi kama Mama Tereza wa Calcutta.๐๐๐๐๐
Alichokuwa ananikera, eti ...."waacheni wapiga kura wangu!"Ni hatari ....Hawa ni kansa..
Magufuli alaaniwe milele
Unaniwekea maneno mdomoni muheshimiwa.Hayo maneno alitamka mzee wetu JPM!Usinitendee ubaya miye mti mbichi kama kabeji.๐๐๐๐๐ ๐ kwamba sisi wengine kula zetu si lolote si chochote basi sawa
Kwamba hao chinga gang ni wezi na Vibaka walio jipumzisha kwa mda au sijaelewa comment yakoHeri hao wamachinga kulko vibaka wa mitaan wasiofany kazi yoyote
Tunajenga lami kwa billions halafu unamruhusu Chingaboy apange "malapa" na magari au watu wasipite.๐๐๐๐๐
Kamwe serikali haiwez kuwaondoa wapiga kura wake et barabaraniJengeni ila hilo soko likikamilika hatutalitaka, sisi machinga tumezoea kuuza kandokando mwa barabara kama mnaona barabara hazitoshi jengeni kubwa zaidi...sisi na barabara ni kama nyani na shamba la mahindi, mtatufukuza lakini tutarudi tu๐
Huwez elew kwasab uko kweny V8 yako uku walalahoi wakitoa jasho kusurviveKwamba hao chinga gang ni wezi na Vibaka walio jipumzisha kwa mda au sijaelewa comment yako
Vigog wachache mnaokula keki ya Taifa waacheni wasakatonge wamachinga waishiAlichokuwa ananikera, eti ...."waacheni wapiga kura wangu!"
Elimu itusaifie Magufuli alkuw mzalendo Ila ssHapo hakuna hata mmoja mwenye kitambulisho
Ni kweli kuna tatizo ila hii yote ni kwa sababu ya kutokuwa na viongozi wanaojali kesho ya wengine badala yake wao wanatazama leo yao tu.Hakuna pa kupita watu wa miguu
Malizeni yale masoko haraka mnajenga vitu gani haviishi nyie
View attachment 1943672
View attachment 1943673
View attachment 1943674
View attachment 1943675
View attachment 1943676
View attachment 1943677
View attachment 1943678