maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,318
- 1,792
Jana kulikuwa na mechi ya U20 kati ya Simba na Mwadui. Wakati wa mchezo huo mchezaji wa Mtibwa alianguka na kupoteza fahamu uwanjani. Kwa wenye taarifa halibya mchezaji huyo ikoje?
Sambamba na hilo nilishangazwa na kitendo cha mwamuzi kumuacha kwa muda mrefu mchezaji wa Simba aliyekuwa anacheza huku anavuja damu.
Sambamba na hilo nilishangazwa na kitendo cha mwamuzi kumuacha kwa muda mrefu mchezaji wa Simba aliyekuwa anacheza huku anavuja damu.