Hali ya mchezaji wa Mwadui ikoje?

maiyanga1

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
1,318
1,792
Jana kulikuwa na mechi ya U20 kati ya Simba na Mwadui. Wakati wa mchezo huo mchezaji wa Mtibwa alianguka na kupoteza fahamu uwanjani. Kwa wenye taarifa halibya mchezaji huyo ikoje?
Sambamba na hilo nilishangazwa na kitendo cha mwamuzi kumuacha kwa muda mrefu mchezaji wa Simba aliyekuwa anacheza huku anavuja damu.
 
Kichwa cha habari mchezaji wa mwadui kwenye content mchezaji wa mtibwa
 
Jana kulikuwa na mechi ya U20 kati ya Simba na Mwadui. Wakati wa mchezo huo mchezaji wa Mtibwa alianguka na kupoteza fahamu uwanjani. Kwa wenye taarifa halibya mchezaji huyo ikoje?
Sambamba na hilo nilishangazwa na kitendo cha mwamuzi kumuacha kwa muda mrefu mchezaji wa Simba aliyekuwa anacheza huku anavuja damu.
IMG-20210613-WA0081.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana kulikuwa na mechi ya U20 kati ya Simba na Mwadui. Wakati wa mchezo huo mchezaji wa Mtibwa alianguka na kupoteza fahamu uwanjani. Kwa wenye taarifa halibya mchezaji huyo ikoje?
Sambamba na hilo nilishangazwa na kitendo cha mwamuzi kumuacha kwa muda mrefu mchezaji wa Simba aliyekuwa anacheza huku anavuja damu.
Huyo mchazaji wa mtibwa alikuwa anachezea Simba au Mwadui.......!

Msaada kidogo hapo.
 
Back
Top Bottom