kwanza kabla ya kwenda ukumbini wajumbe walisafirishwa kutoka sehemu mbalimbali za Igunga,wakapigwa na Chai then wakapewa 30,000 @. Baada ya hotuba ndeeeeefu ilipofika pale kwenye kunyofoa gamba baadhi wa wapiga kura wakazimika (faints) wazee wakapinga wamama wakalia lakini ukumbuke kuwa wakati wanazimia na kulia mifukoni na kwenye matumbo wana chapati na vinyango kadhaa za nyama ya mbuzi, na 30,000. Hiyo ndio hali halisi ya kisiasa . Lakini kaka kwa taarifa HUSSEIN BASHE Ndie Mrithi wa Rostam Igunga kaa tayarimkuu baada ya kujivua gamba hapo jana hali ya kisiasa igunga ikoje? Upepo upo upande upi, magamba or upinzani?
Sasa ndio naiona Logic ya wazee na wanawake wa Igunga kumlilia Rostam Azizi, aliwazoeasha bwelele sasa kuondoka kweke signify watamiss anasa zake! Kazi kweli kweli duh!kwanza kabla ya kwenda ukumbini wajumbe walisafirishwa kutoka sehemu mbalimbali za Igunga,wakapigwa na Chai then wakapewa 30,000 @. Baada ya hotuba ndeeeeefu ilipofika pale kwenye kunyofoa gamba baadhi wa wapiga kura wakazimika (faints) wazee wakapinga wamama wakalia lakini ukumbuke kuwa wakati wanazimia na kulia mifukoni na kwenye matumbo wana chapati na vinyango kadhaa za nyama ya mbuzi, na 30,000. Hiyo ndio hali halisi ya kisiasa . Lakini kaka kwa taarifa HUSSEIN BASHE Ndie Mrithi wa Rostam Igunga kaa tayari
kwanza kabla ya kwenda ukumbini wajumbe walisafirishwa kutoka sehemu mbalimbali za Igunga,wakapigwa na Chai then wakapewa 30,000 @. Baada ya hotuba ndeeeeefu ilipofika pale kwenye kunyofoa gamba baadhi wa wapiga kura wakazimika (faints) wazee wakapinga wamama wakalia lakini ukumbuke kuwa wakati wanazimia na kulia mifukoni na kwenye matumbo wana chapati na vinyango kadhaa za nyama ya mbuzi, na 30,000. Hiyo ndio hali halisi ya kisiasa . Lakini kaka kwa taarifa HUSSEIN BASHE Ndie Mrithi wa Rostam Igunga kaa tayari
Hukumbuki kuwa kwenye mkutano mkuu wa UVCCM 2008 R.A alikuja Dom na milioni 400! kwa ajili ya Bashe kuwa Makamu Mwenyekiti, Hujui kuwa Habari Cooperation ni ya R.A Kuna jamaa zangu hapo Igunga wanaoujua huu mchongo live.duh! HUSSEIN BASHE atatoka Nzega? Najua akitandaza mkwanja anachukua jimbo kirahisi huyu dogo! He is a good guy!
CHADEMA WAMEPEWA JIMBO LA KWANZA TABORA.
hakuna wakuizuia CHADEMA kuchukua IGUNGA this tym