Maombi yetu kwa Mungu amponye haraka, tunamhitaji ktk nchi yetu sana, tunalaani hivyo vitendo viovu na vya kikatili vinavyofanywa na watu wasio na nidhamu. Siasa imegeuka eneo na vurugu, majeruhi, ulemavu na mauaji pasipo kujali ubinadamu!! MUNGU INUSURU TANZANIA NA VIONGOZI VIJANA PAMOJA NA WANANCHI WAPENDA MABADILIKO.