Katiba mpya itavilinda vyama vyote vya siasa visife KWA kuumizwa na chama Tawala KWA KUTUMIA jeshi la polisi!vyama vitakuwa na haki ya kikatiba ya kuhoji serikali hata kufanya mikutano ya siasa bila karipio au figisu kutoka chama tawala!!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.