Hali ya barabara Kibondo - Kasulu

Hali ya barabara Kibondo - Kasulu

KANAL

Senior Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
112
Reaction score
66
Ndug wanajf barabara ya kibondo kasulu hivi tunavyoongea magari kibao yamekwama kutokana na mvua zinazoendelea.jionee
 
Umenitonesha kidonda kwa kuongelea barabara hii.Inatisha unasafiri roho ikiwa rehani.
 
Ndug wanajf barabara ya kibondo kasulu hivi tunavyoongea magari kibao yamekwama kutokana na mvua zinazoendelea.jionee

Mbona sioni kitu mkuu? Au macho yangu??
 
Ndug wanajf barabara ya kibondo kasulu hivi tunavyoongea magari kibao yamekwama kutokana na mvua zinazoendelea.jionee

sehemu gan hyo...maana kesho kutwa nategemea kusafiri
 
Hivi watu wa Kigoma tutapata barabara nzuri za lami zenye lane nane lini? Au mpaka mwisho wa dahari!
 
Nashindwa kuelewa kwann 2nasahaulika kias hicho, lakn serikali iliyopo madarakan wajue hiyo ni indictor, wasifikir wa2 wa kibondo-kasulu-kigoma hawaelewe kinacho endelea, dawa yao ipo jikon.
 
Nashindwa kuelewa kwann 2nasahaulika kias hicho, lakn serikali iliyopo madarakan wajue hiyo ni indictor, wasifikir wa2 wa kibondo-kasulu-kigoma hawaelewe kinacho endelea, dawa yao ipo jikon.
 
Ni kweli hali ya barabara ya nyakanazi mapakaa kigoma ni mbaya mimi mwenyewe nimetoka kigoma jana na lorry mpaka sasa sijafika nyakanazi na gari yangu imevutwa na utelezi eneo la mkugwa karibu na kambi ya zamani ya wakimbizi na bado ncha kidogo iingie kwenye daraja linalotenganisha kijiji cha kifura na kisogwe hali ni mbaya kama mdau wa thread aliyeanzisha ni kweli na huko tulikotokea hasa maeneo ya kuanzia poli la malagarasi kuja darajani hakuptiki sijui serikali inafikiria kwa kutumia nini
 
Back
Top Bottom