Hali tete kwenye burudani

Bendi zilikufa miaka mingi kabla hata ya utawala huu. Kwa mfano akudo impact imekufa japo jina lipo mapacha watatu imekufa chokoraa karudi twanga japo jina lipo FM akademia iliathirika zaidi baada ya mmiliki wake martin kasyanju kufariki japo bado ipo. Msondo ngoma miaka zaidi ya mitano inafanya show ya bia pale brake point ya mjini kule posta kiujumla muziki wa dansi umekufa au umeanza kufa miaka mingi nyuma lkn club bado zinafanya vizuri japo show za bingo fleva zimepungua kidogo kutokana na spirit ya kubana matumizi ya magufuli kuingia mpk kwenye mashirika binafsi. Spirit hii ndiyo itakayoleta maendeleo kwa serikali hadi mtu mmoja mmoja nchi zilizoendelea spirit ya kubana matumizi ipo karne nyingi tukumbuke ukienda kwa mzungu hukaribishwi msosi kama hukutoa taarifa n.k hii ina maanisha wazungu wako makini na matumizi lkn sio masikini. Watanzania sasa tuishi kwa budget na kufanya kazi zaidi tutaendelea na tutamkumbuka magufuli.
Unajitahid kujitoa ufahamu ila ukweli unaujua mwenyewe
 
nasubiria 22/ july leaders club...castle lite unlocks...15000 yangu tu namwona diamond,vee money,navykenzo,casper nyovest,future etc......


Si bora tu ukawekeze kwa kitu cha maana kwa hizo hela? Sasa hao ni wanamuziki au wasanii tu, unaliwa hela zako bure. fanya kitu cha maana.
 
Back
Top Bottom