DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Nn
Mungu ni mkubwa atatunusuru lakini hali si hali.Huku vijijini mvua nazo zimegoma na mkulu alishasema hakutakuwa na Chakula cha msaada. Tutakuwa wakimbizi mwaka huu, kukimbia njaa kwenda nchi jirani.
Mungu ni mkubwa atatunusuru lakini hali si hali.