Acha wafe wakome waliambiwa serikali hii ya mapungwani wakabisha..ma dokta hasa wewe dokta chichi gomeni milele..tena ikibidi mpasue hata na thermometer na darubini kabisa
Acha wafe wakome waliambiwa serikali hii ya mapungwani wakabisha..ma dokta hasa wewe dokta chichi gomeni milele..tena ikibidi mpasue hata na thermometer na darubini kabisa
Mkuu, wa kukoma hapo nani sasa...wanaokufa ni raia wasio na hatia, wenye makosa au labda wanaotakiwa kukoma ni serikali ambao wao hawatakufa kwasababu Agha khan, regency nk zinafanya kazi na ndiko wanapotibiwa wao.
Sijasimuliwa nimetoka sasa hivi muhimbili, hali ni ya kuhuzunisha sana wagojwa ambao wanahitaji msaada wa daktari hawana la kufanya hakuna Daktari yeyote zaidi ya manesi ambao wapo wodini tu nafikiri kulinda usalama wa mashuka. Viongozi wanaohusika wakae na hawa madaktari ili kuokoa maisha ya watu wasio na hatia, hakuna sababu kabisa ya kuvutana, suluhu ni kufikia muafaka. inasikitisha sana. Uuungwana ni kusikiliza na kufanya maelewano kuokoa maisha ya watanzania wasio na hatia. hii ni laana kwa taifa damu hii itakuwa juu ya wahusika!!!
Utasikia Radio one baadaye ikitangaza kwamba hakuna Daktari aliyegoma, nachukia sana vyombo vya habari kutumika katika propaganda
Mkuu, wa kukoma hapo nani sasa...wanaokufa ni raia wasio na hatia, wenye makosa au labda wanaotakiwa kukoma ni serikali ambao wao hawatakufa kwasababu Agha khan, regency nk zinafanya kazi na ndiko wanapotibiwa wao.