Hali ilivyo ndani ya CCM kwasasa

Hali ilivyo ndani ya CCM kwasasa

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Msanii Kipanya anajitahidi kutueleza hali halisi ya kisiasa ilivyo ndani ya CCM mara baada ya upinzani kudhibitiwa.

Sasa ni mtifuano tu ndani ya wanaCCM
Screenshot_20191025-210800.jpeg
 
Wishful thinking. Kipanya anatamani yatokee hayo ila, hata huyo anayekuja kuongoza atakuwa ametokea humo humo ccm
 
Umeishia darasa la ngapi?
Kinachoendelea Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ndani ya CCM unakijua??
Kumbe tiyari ushajua kuwa kuna chaguzi za chama zinaendelea. Tunaandaa uhalali wa utawala kuwa we rule from the grass roots. Kitu cha kujua ni kuwa; Onceelected thru the chama votes yu are the winner.
 
Kumbe tiyari ushajua kuwa kuna chaguzi za chama zinaendelea. Tunaandaa uhalali wa utawala kuwa we rule from the grass roots. Kitu cha kujua ni kuwa; Onceelected thru the chama votes yu are the winner.
Hata kwa kukwapua haki za wapiga kura
 
Nadhani tafsiri yako sio sahihi sana. Kwa uzoefu wangu wa siasa, mara nyingi CCM hupendelea hali hii ya mnyukano wa ndani kwa ndani. Faida yake ni moja, CCM ndiyo inayosemwa na ndiyo inayosikika masikiano mwa watu (kwenye siasa ni kosa kupotea masikioni na midomoni mwa watu), na mbadala wake huonekanana yumo humo humo ndani ya CCM. Hii ni hatari kwa afya ya vyama vya upinzani. Jambo, la kujifunza wapinzani, kama vita ilivyokua 2015, na hatimaye upinzani kutokea ndani ya CCM, ndio hali hii inajitokeza tena. Itakua kosa kama upinzani ukipokea mtu kutokea CCM. Itakua sawa na ya 2015.
 
Kwa ushauri wako sasa nini kifanyike ili kuepuka hali hiyo isitokee?
Nadhani tafsiri yako sio sahihi sana. Kwa uzoefu wangu wa siasa, mara nyingi CCM hupendelea hali hii ya mnyukano wa ndani kwa ndani. Faida yake ni moja, CCM ndiyo inayosemwa na ndiyo inayosikika masikiano mwa watu (kwenye siasa ni kosa kupotea masikioni na midomoni mwa watu), na mbadala wake huonekanana yumo humo humo ndani ya CCM. Hii ni hatari kwa afya ya vyama vya upinzani. Jambo, la kujifunza wapinzani, kama vita ilivyokua 2015, na hatimaye upinzani kutokea ndani ya CCM, ndio hali hii inajitokeza tena. Itakua kosa kama upinzani ukipokea mtu kutokea CCM. Itakua sawa na ya 2015.
 
Back
Top Bottom