Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Abel ni jina lakiume
Anaweza akawa anajiita abel kumbe ni ke.Haujui jf tunatumia fake id?
Abel ni jina lakiume
Ule vya mtu usiemjua hata kwa sauti wategemea nini?
Ngoja kwanza nikuulize ww ni me au ke?
Anaweza akawa anajiita abel kumbe ni ke.Haujui jf tunatumia fake id?
unadalili za kutatuliwa marinda aisee . mblock
pole na kazi na mfungo wa ramadhan wana jf,mim ni kijana ambae tem iliyopita niliutupia uzi mkali wa kusaka mchumba,ila nimejikuta kujilaumu kwa hlo kwani mchumba niliempata ananipa wakati mgumu coz nina mawasiliano nae kwa muda miez miwili tunachati tuu na hataki nimpigie cm nisikie saut yake ila anataka tuchati tuu,nikimuuliza kwanin hvyo,ananijibu ipo siku ntasikia saut yake na syo leo,na kanitumia pesa kibao tena bila kuombwa,anadai ananijali ila naogopa kwanin hatak nisikie saut yake!nimemuomba mara nying nimsikie najibiwa siku bdo haijafika ya kumsikia,kusema kwel maji yamefika shingon ,nimechoka kabisa wapendwa nimefikia mahal pa kufikilia kuchange namba,kwan anatuma pesa nyingi si mchezo na hatak nimsikie,na anachat kwa kiingeleza vizur sana kulko kiswahli,nisaidien kwa kuni pm au kunitumia sms kupitia 0763175935
pole na kazi na mfungo wa ramadhan wana jf,mim ni kijana ambae tem iliyopita niliutupia uzi mkali wa kusaka mchumba,ila nimejikuta kujilaumu kwa hlo kwani mchumba niliempata ananipa wakati mgumu coz nina mawasiliano nae kwa muda miez miwili tunachati tuu na hataki nimpigie cm nisikie saut yake ila anataka tuchati tuu,nikimuuliza kwanin hvyo,ananijibu ipo siku ntasikia saut yake na syo leo,na kanitumia pesa kibao tena bila kuombwa,anadai ananijali ila naogopa kwanin hatak nisikie saut yake!nimemuomba mara nying nimsikie najibiwa siku bdo haijafika ya kumsikia,kusema kwel maji yamefika shingon ,nimechoka kabisa wapendwa nimefikia mahal pa kufikilia kuchange namba,kwan anatuma pesa nyingi si mchezo na hatak nimsikie,na anachat kwa kiingeleza vizur sana kulko kiswahli,nisaidien kwa kuni pm au kunitumia sms kupitia 0763175935
ha ha umeona smart people!unadalili za kutatuliwa marinda aisee . mblock
pole na kazi na mfungo wa ramadhan wana jf,mim ni kijana ambae tem iliyopita niliutupia uzi mkali wa kusaka mchumba,ila nimejikuta kujilaumu kwa hlo kwani mchumba niliempata ananipa wakati mgumu coz nina mawasiliano nae kwa muda miez miwili tunachati tuu na hataki nimpigie cm nisikie saut yake ila anataka tuchati tuu,nikimuuliza kwanin hvyo,ananijibu ipo siku ntasikia saut yake na syo leo,na kanitumia pesa kibao tena bila kuombwa,anadai ananijali ila naogopa kwanin hatak nisikie saut yake!nimemuomba mara nying nimsikie najibiwa siku bdo haijafika ya kumsikia,kusema kwel maji yamefika shingon ,nimechoka kabisa wapendwa nimefikia mahal pa kufikilia kuchange namba,kwan anatuma pesa nyingi si mchezo na hatak nimsikie,na anachat kwa kiingeleza vizur sana kulko kiswahli,nisaidien kwa kuni pm au kunitumia sms kupitia 0763175935
itakuwa wewe ni mwanaume na unaewasiliana nae ni mwanaume pia,wewe endelea kuchukua hizo ela huku ukijiandaa na show ya nguvu
unaweza uka-block jini wewe?
ala! labda atumie damu ya Bwana Yesu tu!
Vijana wa siku hizi wanashida sana
hivi anashindwa nini kutafuta namba nyingine na kumpigia ili kumsikia? Abel james
Vijana wa siku hizi wanashida sana
hivi anashindwa nini kutafuta namba nyingine na kumpigia ili kumsikia? Abel james
Vijana wa siku hizi wanashida sana
hivi anashindwa nini kutafuta namba nyingine na kumpigia ili kumsikia? Abel james
pole na kazi na mfungo wa ramadhan wana jf,mim ni kijana ambae tem iliyopita niliutupia uzi mkali wa kusaka mchumba,ila nimejikuta kujilaumu kwa hlo kwani mchumba niliempata ananipa wakati mgumu coz nina mawasiliano nae kwa muda miez miwili tunachati tuu na hataki nimpigie cm nisikie saut yake ila anataka tuchati tuu,nikimuuliza kwanin hvyo,ananijibu ipo siku ntasikia saut yake na syo leo,na kanitumia pesa kibao tena bila kuombwa,anadai ananijali ila naogopa kwanin hatak nisikie saut yake!nimemuomba mara nying nimsikie najibiwa siku bdo haijafika ya kumsikia,kusema kwel maji yamefika shingon ,nimechoka kabisa wapendwa nimefikia mahal pa kufikilia kuchange namba,kwan anatuma pesa nyingi si mchezo na hatak nimsikie,na anachat kwa kiingeleza vizur sana kulko kiswahli,nisaidien kwa kuni pm au kunitumia sms kupitia 0763175935