Hali halisi ya maisha ya Afrika Kusini

Hali halisi ya maisha ya Afrika Kusini

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,182
Reaction score
1,596
Lazma tuambiane ukweli ipo hiviiii

Enzi za miaka ya 90s kipindi watu wanakuja kutafuta kazi afrika kusini walikuwa wanatoboa kirahisi kazi zilikuwa kibao kwakuwa natives walikuwa wanapewa na serikali kilakitu bure Hali iliyopelekea wakawa hawafanyi kazi so mgeni ukija kazi unanchukua tu watu walifanikiwa miaka Ile hata ukija mtu anakupokea anakupeleka sehemu inafany Kaz unapata pesa

Ilikuwa rahisi mtu kukupokea kwakuwa maisha hayakuwa magumu pia ajira zilikuwepo miaka ilipozidi kwenda baada ya thabo mbeki kuondok madarakan uchumi ulibadirika serikali ilishindwa Tena kutoa kilakitu bure Kama mwanzo Hali iliyopelekea wazawa kulazimika kufanya kazi kujikimu hapo shida ikaanza ajira zikawa na ushindani ikawa vigumu kupata ajira

Asikudanganye mtu saivi hata wazulu nao wanapambana kupata ajira kwahiyo ajira zimekuwa chache

Kutokana na Hali ngumu ya maisha hata huruma myoyoni mwa watu imepungua saivi vigumu mtu kukupokea kwakuwa Hana uwezo pia Hana pakukupeleka kma zamani

Pointi yangu no hivii njooo kilamtu anariziki yake ila jipange kisaikolojia kuwa huenda ukaja na usifanikiwe but tatizo vijana wengi wa dar utakuta Hana ujuzi kwao kaharibu ndyo anakimbilia SA wengi wanaishia kuwa wezi na waporaji Kama unaamua kuja jitahidi uwe angalau na ujuzi ili upate PA kuanzia vinginevyo itakuwia ugumu kazi za unskilled no chache ila haikufanyi ushindwe kujaribu bahati yako ushauri wangu jipangee
 
Acha vitisho mkuu Ni sawa watu wanawaogopesha watu kuja dsm kumbe dsm ukija ukawa makini unatoboa vizuri tu.
 
Lazma tuambiane ukweli ipo hiviiii

Enzi za miaka ya 90s kipindi watu wanakuja kutafuta kazi afrika kusini walikuwa wanatoboa kirahisi kazi zilikuwa kibao kwakuwa natives walikuwa wanapewa na serikali kilakitu bure Hali iliyopelekea wakawa hawafanyi kazi so mgeni ukija kazi unanchukua tu watu walifanikiwa miaka Ile hata ukija mtu anakupokea anakupeleka sehemu inafany Kaz unapata pesa

Ilikuwa rahisi mtu kukupokea kwakuwa maisha hayakuwa magumu pia ajira zilikuwepo miaka ilipozidi kwenda baada ya thabo mbeki kuondok madarakan uchumi ulibadirika serikali ilishindwa Tena kutoa kilakitu bure Kama mwanzo Hali iliyopelekea wazawa kulazimika kufanya kazi kujikimu hapo shida ikaanza ajira zikawa na ushindani ikawa vigumu kupata ajira

Asikudanganye mtu saivi hata wazulu nao wanapambana kupata ajira kwahiyo ajira zimekuwa chache

Kutokana na Hali ngumu ya maisha hata huruma myoyoni mwa watu imepungua saivi vigumu mtu kukupokea kwakuwa Hana uwezo pia Hana pakukupeleka kma zamani

Pointi yangu no hivii njooo kilamtu anariziki yake ila jipange kisaikolojia kuwa huenda ukaja na usifanikiwe but tatizo vijana wengi wa dar utakuta Hana ujuzi kwao kaharibu ndyo anakimbilia SA wengi wanaishia kuwa wezi na waporaji Kama unaamua kuja jitahidi uwe angalau na ujuzi ili upate PA kuanzia vinginevyo itakuwia ugumu kazi za unskilled no chache ila haikufanyi ushindwe kujaribu bahati yako ushauri wangu jipangee
Sio rahisi kukutana na mbongo ughaibuni ambae ananyoosha maelezi, yani maisha yao ni ya kufoji sanaa, wengi hana karatasi wezi tapeli omba omba, lugha shida loh!!! Labda wale wanao enda kimasomo na wanalipiwa na serikali ndo unaweza kufanya urafiki ila wengine labda unatafuta jela.
 
Niliibuka Jonhanesburg miaka ya 2016-2017,hakuna maajabu yeyote!,home boys wana njaa kama panya buku!,kulala nje ni kitu cha kawaida na ile baridi utaomba ufe!,kuna sehemu ukishapita kule myfear kuna magheto kulala unatoa rand 30 chumba kimoja raia 10 halafu mlango haufungwi wengine wanalala wengine wanaamka,ukilala kindezi unasachiwa!,chumba cha kupanga mitaa hiyo ni Rand 1500 kwa mwezi ila ni sehemu za hovyo tu chafu chafu,ukitaka magheto mazuri town Rand 3500,Rand ndio ina thamani maana kipindi kile Rand 700 tu ilikuwa kama laki ya kibongo ila kuipata lazima uwe na pesa uzungushie kwenye simu za wizi!,ila uzuri kwenye misosi ukiwa na pesa yeyote unakula kuanzia Rand 20,30 mwendo tu wa mikuku ya kisasa ,swala la usalama ni 0 muda wowote unatangulizwa haera!,kuna sehemu nilikutana na home boys wakataka kuniibia walivyokuwa wananiangalia nikajua kabisa wajinga wanataka kunizingua nikatokomea kijeshi!,ila kile kiwanja kama una roho nyepesi unarudi siku hiyo hiyo!,South África kiwanja dume kweli kweli inabidi uikane nafsi yako!
N:B tungo ili nili kusingida!,karibu ugali wa ndalu!
 
Lazma tuambiane ukweli ipo hiviiii

Enzi za miaka ya 90s kipindi watu wanakuja kutafuta kazi afrika kusini walikuwa wanatoboa kirahisi kazi zilikuwa kibao kwakuwa natives walikuwa wanapewa na serikali kilakitu bure Hali iliyopelekea wakawa hawafanyi kazi so mgeni ukija kazi unanchukua tu watu walifanikiwa miaka Ile hata ukija mtu anakupokea anakupeleka sehemu inafany Kaz unapata pesa

Ilikuwa rahisi mtu kukupokea kwakuwa maisha hayakuwa magumu pia ajira zilikuwepo miaka ilipozidi kwenda baada ya thabo mbeki kuondok madarakan uchumi ulibadirika serikali ilishindwa Tena kutoa kilakitu bure Kama mwanzo Hali iliyopelekea wazawa kulazimika kufanya kazi kujikimu hapo shida ikaanza ajira zikawa na ushindani ikawa vigumu kupata ajira

Asikudanganye mtu saivi hata wazulu nao wanapambana kupata ajira kwahiyo ajira zimekuwa chache

Kutokana na Hali ngumu ya maisha hata huruma myoyoni mwa watu imepungua saivi vigumu mtu kukupokea kwakuwa Hana uwezo pia Hana pakukupeleka kma zamani

Pointi yangu no hivii njooo kilamtu anariziki yake ila jipange kisaikolojia kuwa huenda ukaja na usifanikiwe but tatizo vijana wengi wa dar utakuta Hana ujuzi kwao kaharibu ndyo anakimbilia SA wengi wanaishia kuwa wezi na waporaji Kama unaamua kuja jitahidi uwe angalau na ujuzi ili upate PA kuanzia vinginevyo itakuwia ugumu kazi za unskilled no chache ila haikufanyi ushindwe kujaribu bahati yako ushauri wangu jipangee
Upo wapi Johburg, Pretoria, Durban, Capetown, Port Elizabeth, Kimberley au?

Uliingia lini SA?

Kazi yako? Ulipataje papers/vibali?

TOA UZOEFU
 
Upo wapi Johburg, Pretoria, Durban, Capetown, Port Elizabeth, Kimberley au?

Uliingia lini SA?

Kazi yako? Ulipataje papers/vibali?

TOA UZOEFU
Mimi Capetown but mdamwingi nasafiri ni baharia no deckfitter kwenye container ship
 
Wew usiwe boya🤔 huyu jamaa ajamtisha mtu hapa Bali katoa huwalisia wa Maisha ya SA yalivyo. Ukweli ni kwamba hiyo nchi mim nimekaa sana na nimeenda mala tatu nimerudi mwaka Jana Tarehe5 Dec-2022. Asaivi Hali ni ngumu sana. Walikuwa wanakuja mahom boy wapya kila siku wengine hata mwezi hauwishi wanaenda Ubarozini kuomba msahada wa kurudishwa Bongo. In short South Africa ni pazuri ikiwa umejipanga unaenda kwa mchongo maalum Otherwise utapata tabu sana ndugu. Hakuna Ajira kabisa imefikia hatua msauz mwenyewe anauza Hadi sigara na pipi ili alate chochote kitu. Mimi nilikuwa nafanya kazi Maeneo ya Bus terminal (Bosman Station Pretoria) nilikuwa nanyoa pale Berbarshop ya waganda na nilikuwa naishi Fleti inaitwa Newport. Lakin All in all maisha yamebadilika sana. Na kwasasa nipo zangu Kampala Uganda na pambana na mishe zangu za hapa na pale.
 
Back
Top Bottom