Hio ilikuwa mbinu yake tu ya kutafuta huruma na kuudanganya uma! Lakini silku watanganyika wakiujua ukweli wanaweza kumfuturu bila vinegar wala kachumbari
Hio ilikuwa mbinu yake tu ya kutafuta huruma na kuudanganya uma! Lakini silku watanganyika wakiujua ukweli wanaweza kumfuturu bila vinegar wala kachumbari
kichwa cha mada kinasema hakupewa sumu, sasa hapo juu unasema, "sumu ina madhara ya baadae". Sasa mbona kunaukinzani na ulichokiandika kwenye headline?
Mpango, mzee wa watu acha ajipumzikie, hata hakuwa na habari ya wanamtandao. Siku ile ameteuliwa kuwa makamu, katika kuongea akaanza kukaripia akidhani ni zama za Magufuli, alipotulizwa tuu, akajikalia kimya.
Mpango, mzee wa watu acha ajipumzikie, hata hakuwa na habari ya wanamtandao. Siku ile ameteuliwa kuwa makamu, katika kuongea akaanza kukaripia akidhani ni zama za Magufuli, alipotulizwa tuu, akajikalia kimya.
Mpango, mzee wa watu acha ajipumzikie, hata hakuwa na habari ya wanamtandao. Siku ile ameteuliwa kuwa makamu, katika kuongea akaanza kukaripia akidhani ni zama za Magufuli, alipotulizwa tuu, akajikalia kimya.