William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Selikali itakabiliana na ofisi ya CAG kwa Vitisho kushinikizwa kuuficha ukweli kwenye ripoti zijazo.
Inasemekana mbinu zitakazotumika ni sawa zile zilizotumika kuinyima makali TBC.
Imefahamika kuwa HAKUNA WAZIRI MWENYE MPANGO WA KUJIUZURU AU ATAKAEJIUZURU BALI ULIKUWA MKAKATI WA MAWAZIRI Kuonewa huruma na wabunge wa CCM
Mpango ni wakuwazubaisha wafunike kombe na riport zingine zijazajo ziipambe Selikali
Mawaziri wanajitetea, wao kujiuzuru ni kuiua CCM NA kuupa nguvu upinzani
Kuna hoja kuwa kunabaadhi ya fedha zilizoyeyuka Zilitumiwa na CCM IGUNGA, ARUMERU NA NYINGINE ZITATUMIKA KUREJESHA MAJIMBO YATAKAYOTENGULIWA NA MAHAKAMA KAMA ARUSHA MJINI, SEGEREA NA SONGEA.
Mbinu atakayotumia mnafiki Mtoto wa Mkulima ni kujiliza tena!
Wabunge wote wa ccm jana wamepunguzwa munkali na JK atakuja kuuzima kabisa na mkakati uliopo ni kuwatafuta waongeaji mmojammoja na kuwazima kabisa kwa mbinu yoyote Ama kwa KUWAOMBA,
AMA KWA KUWAHONGA
AMA KWA KUWATISHA AU KUWAAHIDI VYEO NA UWAAZIRI
INASEMEKANA WATAOMBWA KUMWACHA JK AVUNJE BARAZA BILA SHINIKIZO NA HATALIVUNJA
Inasemekana mbinu zitakazotumika ni sawa zile zilizotumika kuinyima makali TBC.
Imefahamika kuwa HAKUNA WAZIRI MWENYE MPANGO WA KUJIUZURU AU ATAKAEJIUZURU BALI ULIKUWA MKAKATI WA MAWAZIRI Kuonewa huruma na wabunge wa CCM
Mpango ni wakuwazubaisha wafunike kombe na riport zingine zijazajo ziipambe Selikali
Mawaziri wanajitetea, wao kujiuzuru ni kuiua CCM NA kuupa nguvu upinzani
Kuna hoja kuwa kunabaadhi ya fedha zilizoyeyuka Zilitumiwa na CCM IGUNGA, ARUMERU NA NYINGINE ZITATUMIKA KUREJESHA MAJIMBO YATAKAYOTENGULIWA NA MAHAKAMA KAMA ARUSHA MJINI, SEGEREA NA SONGEA.
Mbinu atakayotumia mnafiki Mtoto wa Mkulima ni kujiliza tena!
Wabunge wote wa ccm jana wamepunguzwa munkali na JK atakuja kuuzima kabisa na mkakati uliopo ni kuwatafuta waongeaji mmojammoja na kuwazima kabisa kwa mbinu yoyote Ama kwa KUWAOMBA,
AMA KWA KUWAHONGA
AMA KWA KUWATISHA AU KUWAAHIDI VYEO NA UWAAZIRI
INASEMEKANA WATAOMBWA KUMWACHA JK AVUNJE BARAZA BILA SHINIKIZO NA HATALIVUNJA