Hakuna utamu wa pombe tuacheni kuikuza

Hakuna utamu wa pombe tuacheni kuikuza

Ulishawahi kunywa local beer hizi zikiwa na kaubaridi kwenye jua kali?

Castle lite,
Serengeti lite,

Yaani unapiga chupa tano halafu husikii dalili ya kulewa unaendelea na mitikasi zako.

Au unawaalika Wana mnapiga local hizi

Safari lager,
Castle lager,

Mkiishiwa pesa mnapiga hizi

Eagle lager,
Balimi lager,

Au mkitaka mlewe haraka
Mnatumia spirits hizi

Konyagi kubwa,
K vant kubwa,
John walker,
Jack Daniel

Halafu castle lite kreti mbili mezani kwaajili ya kuzimulia,huku jikoni mbuzi,au mdudu anaandaliwa,Wana mko mkitoka hapo unajibanza sehemu unapiga cha arusha then unarudi mezani unajipoza na sigara hizi Embassy au Sports au SM

Mademu kama wote halafu ATM wala haiko mbali ,achilia mbali kwenye simu na Kwa dashboard ya gari au chini ya siti

Mkuu kama kimya hujui utamu wa pombe

Nashukuru Mungu kaniwezesha kuacha kabisa kitu hiki.

Tahadhari,
Pombe ni kwaajili ya wenye hela kama unajitafuta Bora ubeti tu

Milioni mbili kukatika ndani ya masaa mawili ni kama uji Kwa mgonjwa
wanywa soda huwa wanaona wivu tunavyoclear bill ya 367k dah
 
Kwenye harusi ya kana Yesu alitengeneza divai watu wakanywa wakaisifia sana.
Divai ni Zabibu na Zabibu sio Chungu km Ngano na Mvuke wa Mabaki ya Matunda na Vyakulq jamii Mizizi almaarufu km Gongo yaan Mabibo, Mananasi, Ndizi, Mihogo, nk vyote vinatengezewa Pombe kali
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
True.
In the short term, it gives young men fake confidence.
In the long run, it kills real strength.

Alcohol is a shortcut to nowhere.
Pure poison in disguise.
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Endelea kupata utamu wa juice, tuachie bia
 
Pata kiti moto kilichoandaliwa vizuri, shushia na serengeti moja baridi moja moto uone utamu wake.
 
Unaposema pombe ni ujinga unamaanisha wanywaji ni wajinga, wauzaji ni wajinga, serikali iliyoruhusu ni wajinga pia.
Kuna watu wengi sana wanaendesha maisha kupitia hizo pombe.
Me sio mnywaji lakini acha kuingilia starehe za watu kama hujawasaidia kutafuta hela. Acha kabisa!
Unaingilia uhuru wao, unaingilia pesa zao, unaingilia haki zao za msingi za kisheria na kibinadamu.
Hata ukisema kesho unataka kukata korodani au Miguu wako ni haki yako pia ila lazima tuongee
 
Hata ukisema kesho unataka kukata korodani au Miguu wako ni haki yako pia ila lazima tuongee
Ni haki yako kuongea pia unapoongea, ujue unawapa wengine haki ya kukukosoa/kukubaliana na wewe.
 
Back
Top Bottom