Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,836
Ni kujidanganya tu kwa wanasiasa waliopoteza uelekeo na kukosa hoja kuwaza na kupiga mayowe eti kuna mahali kinaweza kutokea hiki au kile ili Dr.Samia Suluhu Hassan asiwe Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanazania kwa muhula wa pili.
Hiyo ni ndoto ya mchana my friends, ladies and gentlemen.
Dr.Samia Suluhu Hassan atashinda uchaguzi mkuu wa October, atakamata dola, ataunda serikali na kuongoza nchi bila mbambamba yoyote hadi 2030.
Mueleze na mwenyekiti wa chama chako kuhusu jambo hili muhim sana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Hiyo ni ndoto ya mchana my friends, ladies and gentlemen.
Dr.Samia Suluhu Hassan atashinda uchaguzi mkuu wa October, atakamata dola, ataunda serikali na kuongoza nchi bila mbambamba yoyote hadi 2030.
Mueleze na mwenyekiti wa chama chako kuhusu jambo hili muhim sana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania