Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,969
- Thread starter
- #41
Sikwel kiongoz,fanya utafit,watoto watu weng succesfull wamelelewa na singo mathaz..had obama.Kwasababu babu hayupo soft ndio maana baba huitwa mwanajeshi, baba hawezi kukupa upendo soft kwasababu anataka ujifunze kuwa dunia haipo soft. Ndio maana asilimia kubwa ya watoto wanakulia kwa mama bila baba huishia kuwa legevu kwa kukosa uwanajeshi wa baba.
Ndukiiiii ♂️♂️♂️