Hivi ndilo tatizo la Bavicha, badala ya kujibu hoja mnaleta porojo na kejeli! Jbuni hoja
Hoja gani ipo hapo mkuu?Ukawa haitoi kik kwa Chadema.Mm ni CCM lakn naona Cdm ni chama chenye ushawishi mkubwa nchini na uchaguzı ukienda vizuri wanauweza wa kunyakua zaidı ya nusu ya majimbo yote ya bara.