Hakuna UFREEMASON Duniani!

Hamisikh

Member
Joined
Aug 28, 2012
Posts
47
Reaction score
6
Habari wanajamvi, huu ni mtazamo wangu jamani, sababu za msingi ni hizi http://hamisikh.wapka.mobi/site_12 Nawewe unasemaje kuhusu hili?
 
Habari wanajamvi, huu ni
mtazamo wangu jamani, sababu za msingi ni hizi
http://hamisikh.wapka.mobi/site_12 Nawewe unasemaje kuhusu hili?

Kwa hiyo yule Grand Master Andy Chande ni tahaira?? Hujui ulisemalo wewe, kachukue jembe la mkono ukalime...
 
Ukienda muhimbili psychiatric department unakutana na watu wanaojiita freemasons, wako wengi tu. Hawana utofauti na wale wanaojiita obama, nyerere nk.am not saying chande ni mgonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…