Hakuna ubishi kuwa mapambano ya Nape yamezima nguvu ya soda ya CHADEMA

Jun 9, 2011
92
53
Ndugu wana jf na imani kuwa wote humu ndani tuna akili timamu hakuna punguani hapa jamvini wa kubisha kuwa Nape Nauye ni mwarobaini wa sumu anayomwaga Dr slaa look ushahidi wa wazi ni jinsi Nape alivyofanikiwa kuzima vuguvugu la CHADEMA la maandamano pale na yeye alipoibuka na style ya mkoa kwa mkoa.

Sasa baada ya kushindwa hili naona CDM wamedandia hoja ya posho , kwani hawajui kuwa hiyo ni agenda ya CCM? hawajui kuwa Magufuli na Kikwete hawajawahi kuchukua posho bungeni?

Mwanzoni nilidhani Nape hatowezi kuzima urongo wa CDM ila sasa asante Mungu naweza kukaa na kunywa soda au kahawa kuwa 2015 ni zamu ya CCM tena kwa jinsi Nape alivyong'oa fikra potofu za Mbowe na Slaa, Long live Nape Nauye!
 
Oooh..... huoni wameanza kuraruana hadharani eeh, unafikiri alichokuwa anaongea pinda juzi ni yeye au ni kuzidiwa na kukosa uwezo wa kufanya uchambuzi sahihi nini kisemwe na kisemwe wapi na nani akiseme.
 
Ndugu wana jf na imani kuwa wote humu ndani tuna akili timamu hakuna punguani hapa jamvini wa kubisha kuwa Nape Nauye ni mwarobaini wa sumu anayomwaga Dr slaa look ushahidi wa wazi ni jinsi Nape alivyofanikiwa kuzima vuguvugu la CHADEMA la maandamano pale na yeye alipoibuka na style ya mkoa kwa mkoa.

Sasa baada ya kushindwa hili naona CDM wamedandia hoja ya posho , kwani hawajui kuwa hiyo ni agenda ya CCM? hawajui kuwa Magufuli na Kikwete hawajawahi kuchukua posho bungeni?

Mwanzoni nilidhani Nape hatowezi kuzima urongo wa CDM ila sasa asante Mungu naweza kukaa na kunywa soda au kahawa kuwa 2015 ni zamu ya CCM tena kwa jinsi Nape alivyong'oa fikra potofu za Mbowe na Slaa, Long live Nape Nauye!
.

Nani asiye wajua nyinyi ni wapambe wa nape, kuzima ngumu ya soda ya cdm ni mpaka maisha bora yatakapo patikana kwa wtz. umeme tu umewashinda unabaki kumbwela mbwela tu bila mpango. Magambazi hamna hojaaaaaaaaaaaaaa
 
Habari ya mchana NAPE hapo lumumba kwema, anyway kuna watanzania wanakufa muhimbili kwa kukosa huduma tembelea na huko ukapige porojo.
kwa kabli tunavyokufa ndio na NAPE unapata neema hapo lumumba
 
Asante ndgu,asante sababu umeongea ukwel wakatae au wakubal ukwel uko palepale nguvu ya cdm ilikuwa km ya gesi ikitikiswa inaisha na mtikisaj ndo huyo kapatakana nguvu imepungua na muda ikifika itaisha kabisa
 
Ndugu wana jf na imani kuwa wote humu ndani tuna akili timamu hakuna punguani hapa jamvini wa kubisha kuwa Nape Nauye ni mwarobaini wa sumu anayomwaga Dr slaa look ushahidi wa wazi ni jinsi Nape alivyofanikiwa kuzima vuguvugu la CHADEMA la maandamano pale na yeye alipoibuka na style ya mkoa kwa mkoa.Sasa baada ya kushindwa hili naona CDM wamedandia hoja ya posho , kwani hawajui kuwa hiyo ni agenda ya CCM? hawajui kuwa Magufuli na Kikwete hawajawahi kuchukua posho bungeni?Mwanzoni nilidhani Nape hatowezi kuzima urongo wa CDM ila sasa asante Mungu naweza kukaa na kunywa soda au kahawa kuwa 2015 ni zamu ya CCM tena kwa jinsi Nape alivyong'oa fikra potofu za Mbowe na Slaa, Long live Nape Nauye!
si kweli, umekosa kazi ww
 
Huyu nape si akemee na mgao wa umeme kama ameweza kuzima maandamano ya chadema.
 
Ndugu wana jf na imani kuwa wote humu ndani tuna akili timamu hakuna punguani hapa jamvini wa kubisha kuwa Nape Nauye ni mwarobaini wa sumu anayomwaga Dr slaa look ushahidi wa wazi ni jinsi Nape alivyofanikiwa kuzima vuguvugu la CHADEMA la maandamano pale na yeye alipoibuka na style ya mkoa kwa mkoa.Sasa baada ya kushindwa hili naona CDM wamedandia hoja ya posho , kwani hawajui kuwa hiyo ni agenda ya CCM? hawajui kuwa Magufuli na Kikwete hawajawahi kuchukua posho bungeni?Mwanzoni nilidhani Nape hatowezi kuzima urongo wa CDM ila sasa asante Mungu naweza kukaa na kunywa soda au kahawa kuwa 2015 ni zamu ya CCM tena kwa jinsi Nape alivyong'oa fikra potofu za Mbowe na Slaa, Long live Nape Nauye!
ni kweli kipanga, nepi amefanya mengi. Ameweza kuwafukuza mapacha watatu ndani ya ccm na sasa hawana vyama. Mikutano yake mingi haijai watoto wa shule. Kila anapotembelea hawasafirishi watu kwa malori ili wahudhurie mikutano yake. Halafu kikubwa kabisa alichokifanya ni kuisimamia serikali na kuishinika kutatua tatizo la umeme, sasa tatizo hilo limebaki ni historia tu na umeme unawaka masaa 24 kwa wiki kwa mwezi. Halafu amewashawishi wabunge wa chama chake wazikatae posho na sasa wabunge wote hawapewi posho.
 
Ndugu wana jf na imani kuwa wote humu ndani tuna akili timamu hakuna punguani hapa jamvini wa kubisha kuwa Nape Nauye ni mwarobaini wa sumu anayomwaga Dr slaa look ushahidi wa wazi ni jinsi Nape alivyofanikiwa kuzima vuguvugu la CHADEMA la maandamano pale na yeye alipoibuka na style ya mkoa kwa mkoa.

Sasa baada ya kushindwa hili naona CDM wamedandia hoja ya posho , kwani hawajui kuwa hiyo ni agenda ya CCM? hawajui kuwa Magufuli na Kikwete hawajawahi kuchukua posho bungeni?

Mwanzoni nilidhani Nape hatowezi kuzima urongo wa CDM ila sasa asante Mungu naweza kukaa na kunywa soda au kahawa kuwa 2015 ni zamu ya CCM tena kwa jinsi Nape alivyong'oa fikra potofu za Mbowe na Slaa, Long live Nape Nauye!

kweli upumbavu hauna ujazo
 
ni kweli kipanga, nepi amefanya mengi. Ameweza kuwafukuza mapacha watatu ndani ya ccm na sasa hawana vyama. Mikutano yake mingi haijai watoto wa shule. Kila anapotembelea hawasafirishi watu kwa malori ili wahudhurie mikutano yake. Halafu kikubwa kabisa alichokifanya ni kuisimamia serikali na kuishinika kutatua tatizo la umeme, sasa tatizo hilo limebaki ni historia tu na umeme unawaka masaa 24 kwa wiki kwa mwezi. Halafu amewashawishi wabunge wa chama chake wazikatae posho na sasa wabunge wote hawapewi posho.
Kweli kabisa, asiyeona hana masikio.
 
ni kweli kipanga, nepi amefanya mengi. Ameweza kuwafukuza mapacha watatu ndani ya ccm na sasa hawana vyama. Mikutano yake mingi haijai watoto wa shule. Kila anapotembelea hawasafirishi watu kwa malori ili wahudhurie mikutano yake. Halafu kikubwa kabisa alichokifanya ni kuisimamia serikali na kuishinika kutatua tatizo la umeme, sasa tatizo hilo limebaki ni historia tu na umeme unawaka masaa 24 kwa wiki kwa mwezi. Halafu amewashawishi wabunge wa chama chake wazikatae posho na sasa wabunge wote hawapewi posho.
Duh! Nappy kiboko kwa kweli.
 
ni kweli kipanga, nepi amefanya mengi. Ameweza kuwafukuza mapacha watatu ndani ya ccm na sasa hawana vyama. Mikutano yake mingi haijai watoto wa shule. Kila anapotembelea hawasafirishi watu kwa malori ili wahudhurie mikutano yake. Halafu kikubwa kabisa alichokifanya ni kuisimamia serikali na kuishinika kutatua tatizo la umeme, sasa tatizo hilo limebaki ni historia tu na umeme unawaka masaa 24 kwa wiki kwa mwezi. Halafu amewashawishi wabunge wa chama chake wazikatae posho na sasa wabunge wote hawapewi posho.
Haaaa haaaa! Umegonga kwenyewe ndugu!
 
Huyu nape si akemee na mgao wa umeme kama ameweza kuzima maandamano ya chadema.
Haaaaa haaaa! Ame-take advantage ya Vikao vya Bunge! Alitegemea Wabunge wa CDM waache Vikao vya Bunge waendelee na maandamano?
 
Ndugu wana jf na imani kuwa wote humu ndani tuna akili timamu hakuna punguani hapa jamvini wa kubisha kuwa Nape Nauye ni mwarobaini wa sumu anayomwaga Dr slaa look ushahidi wa wazi ni jinsi Nape alivyofanikiwa kuzima vuguvugu la CHADEMA la maandamano pale na yeye alipoibuka na style ya mkoa kwa mkoa.

Sasa baada ya kushindwa hili naona CDM wamedandia hoja ya posho , kwani hawajui kuwa hiyo ni agenda ya CCM? hawajui kuwa Magufuli na Kikwete hawajawahi kuchukua posho bungeni?

Mwanzoni nilidhani Nape hatowezi kuzima urongo wa CDM ila sasa asante Mungu naweza kukaa na kunywa soda au kahawa kuwa 2015 ni zamu ya CCM tena kwa jinsi Nape alivyong'oa fikra potofu za Mbowe na Slaa, Long live Nape Nauye!


Acha kudanganya watu wewe MW-NG-MA-G- ......Njaa zitakuua, utakaa kusifia mafisadi
 
Back
Top Bottom