Rais ni taasisi Tanzania tu? Siyo kweli! Kauli ya Rais kama Rais, ni muhimu katika masuala mazito kama haya. Anaweza ku-delegate, kwa masuala mepesi. Asipotoa kauli katika suala zito, kama hili; atatoa kauli kwa jambo lipi?
Sikia kauli ya Rais wa Ghana, John Atta Mills; katika jambo hili, aliyoitoa tarehe 2 Novemba 2011, "I as President of this nation, will never initiate, or support; any attempt to legalize homosexuality in Ghana." HUYU NDIYE RAIS!