Hakuna Rais

Jk na ccm mmeshuka thamani kama hela ya zimbabwe, ilopo waachieni wanaoweza waikombo TZ
 
Rais Yupo ila kazi zake nyingi ni zakuona na kutembelea wagonjwa, waliofiwa na kwenda kupumzika ng'ambo na hapa chini mkuu alipokwenda kumtembelea Vengu pale wodi ya Mwaisela.
 
hapo kwenye red, inamaanisha taaluma ya uchumi aliyo nayo haijamsaidia chochote.
 
...wewe ndo unagundua leo kuwa hatuna president? Huu ni mwaka wa sita sasa ikilu imekuwa ikikaliwa na comedian wa Kikwele.
 
Rais ni taasisi Tanzania tu? Siyo kweli! Kauli ya Rais kama Rais, ni muhimu katika masuala mazito kama haya. Anaweza ku-delegate, kwa masuala mepesi. Asipotoa kauli katika suala zito, kama hili; atatoa kauli kwa jambo lipi?

Sikia kauli ya Rais wa Ghana, John Atta Mills; katika jambo hili, aliyoitoa tarehe 2 Novemba 2011, "I as President of this nation, will never initiate, or support; any attempt to legalize homosexuality in Ghana." HUYU NDIYE RAIS!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…