Hakuna perfect relationship duniani


Ukinisoma vzr hapo juu utaelewa manake nimemaanisha hivyo....Raha ya mahusiano nikuckilizana km hamckilizani NOWAY...kinachonipa shida kwa baadhi ya walio kwenye mahusiano kila baada ya muda mfupi yuko kwenye tawi jingine ukickiliza sababu hazina mashiko.ni.issue yakurekebisha then mnasonga cz kuishi kwa kuckilizana watu mliokutania ukubwani kunahitajika hekima nakuchukuliana.kwa halo ya.juu sana!
 

Mama Beuty...issue ya matabia ya hovyo c kwa wanaume tu...pia kuna wanawake ni mateso kweli kweli......mi nadhani kwenye maisha yako ukiwa nmackilizana vzr sema Asante......
 

Nimependa maneno yako unaonekana unajitambua hakika!
 
perfect relashionship
mbona bado ipo
1.watu wanaomtegemea Mungu
kikwelikweli, siyo wale wa Bwana asifiwe kumbe ndani ya mioyo yao ni mbwa mwitu.


2. Changundoa na mteja wake
 

 
Last edited by a moderator:
Nimependa maneno yako unaonekana unajitambua hakika!

Rafiki miongoni mwa mambo ninayoyachukia humu duniani....nikuvunjika kwa mahusiano..Ninachojua mkickilizana akili inatulia nakupata muda wakufanya mambo mengine lkn km hakuna maelewano unawekeza muda mwingi kwenye kufikiria mambo hayo kwakweli ni shida sana.......sema watu tunatofautiana sana lkn kwangu mimi hadi tunatemana basi wee umekuwa kimeo hasa.....
 
Haswaaa hilo ndio jambo la maaana saaana. Unapokosea unaomba msamaha na ukiombwa msamaha unasamehe mnasonga mbele taraaatibu mnafurahia maisha ndio njia pekee ya maisha mazuri.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…